Hivi Watanzania huwahi kwenda wapi na kwanini?

Hivi Watanzania huwahi kwenda wapi na kwanini?

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Sasa hivi nasikia kuna treni express, mara mwendokasi, asubuhi saa kumi alfajiri tayari foleni, huwa mnaenda wapi na kwanini hata mnawahi mnakokwenda?

Tanzania hakuna productivity yoyote, hakuna promotion kwamba hard worker atakuwa rewarded na kuwa promoted, sasa hizi mwendokasi, sijui express za nini?

Mnataka kuwahi ili iweje in reality hakuna mahali mnaenda (career wise) sasa mnaamka alfajiri ili iweje?
 
Maisha ya waTz walio wengi ni ya ndege pori.

Asiporuka kwenda kutafuta chakula wasukuma wanaita 'kusoja', ama hata kama anaumwa hakuna wa kumtafutia, aweza kufa na njaa.

Maisha yetu tulio wengi bila ya kudamka kuiwahi ndoto yako ya kupata, basi waweza kukosa ridhiki ya kulisha familia kiukweli.

Hao unaowaona wanabanana kwenye miendo kasi wengi wao si watumishi wa kusema ni wafanyakazi za Serikali ama sekta binafsi, wengi ni wasaka tonge la kulisha familia zao kila siku ndiyo maana wakaitwa 'walala hoi', kwa nini wasidamke kwa kukurupuka?
 
Kwa Tanzania, production dividend is directly proportional to time and inversely proportional to the square of quality.

t is the most important factor of the equation.

Ukifanya kazi 12 hours a day ukaokota maembe laki 4, yumkini elfu zitakuwa nzima.

Time doesn't pay equally much in the context of African employment system. We compensate the deficit by overworking and re-working.

Sijui unanielewa???
 
Tuondoke tu home tukakae vijiweni na kunywa kahawa, kula kashata na kuongelea simba vs yanga, dcm vs ccm. Kukaa home hadi jua lichomoze kero sana wakuu.

Kwamba tunahitaji masaa mengi kufanya kazi, hapana...coz masaa ya kufanya kazi hasa kwa mtanzania wa kawaida sidhani yanafika manne..the rest ni soga.
 
Sasa hivi nasikia kuna treni express, mara mwendokasi, asubuhi saa kumi alfajiri tayari foleni, huwa mnaenda wapi na kwa nini hata mnawahi mnakokwenda?

Tanzagiza hakuna productivity yoyote, hakuna promotion kwamba hard worker atakuwa rewarded na kuwa promoted, sasa hizi mwendokasi, sijui express za nini? Mnataka kuwahi ili iweje in reality hakuna mahali mnaenda sasa mnaamka alfajiri ili iweje?
Mada ya wana Dar es salaam hiyo.
 
Sasa hivi nasikia kuna treni express, mara mwendokasi, asubuhi saa kumi alfajiri tayari foleni, huwa mnaenda wapi na kwanini hata mnawahi mnakokwenda?

Tanzania hakuna productivity yoyote, hakuna promotion kwamba hard worker atakuwa rewarded na kuwa promoted, sasa hizi mwendokasi, sijui express za nini?

Mnataka kuwahi ili iweje in reality hakuna mahali mnaenda (career wise) sasa mnaamka alfajiri ili iweje?
LOOoooh, Jamani, 'Kijakazi', sijui ni kitu gani kilicho kuingia akilini hadi ukaona uitunge mada kama hii.

Binafsi, mada yako hii ni mada nzito sana, ambayo ingeleta mjadala wemye faida kubwa sana katika taifa hili..Tanzania, na hizi nchi zetu nyingi, 'PRODUCTIVITY' ya wafanya kazi wake ipo chini mno. Hawa wanaodamka asubuhi na mapema, inawezekana wanazo sababu zao za kufanya hivyo, mbali ya kuwahi wakafanye kazi kungali mapema kwa ufanisi mkubwa.
Lakini hicho kitendo tu cha kujihimu, ni dalili nzuri sana kwamba hawa wangepata mwongozo, uongozi mzuri na elimu ya kutosha kumudu kazi zao; hawa ndio wangeiondoa Tanzania yetu kwenye hali duni
Ni kwamba: Ari ya kufanya hivyo ipo, ndiyo maana wanaweza kufanya hivyo, hata kama kuna sababu nyinginezo.
 
Wengi wao ni wazururaji tu.Wanaenda na kurudi bila tija yoyote.
Na ukitaka kujua wabongo wengi ni wazururaji,rejea kipindi kile jiwe alitoa amri watu wote wasiiokua na kazi maalumu mjini dar wakamatwe wapelekwe kulima kwa nguvu huku kwenye mashamba ya serikali,mji ulipoa na watu wakapungua sana maeneo kama posta na kariakoo.
 
Sasa hivi nasikia kuna treni express, mara mwendokasi, asubuhi saa kumi alfajiri tayari foleni, huwa mnaenda wapi na kwanini hata mnawahi mnakokwenda?

Tanzania hakuna productivity yoyote, hakuna promotion kwamba hard worker atakuwa rewarded na kuwa promoted, sasa hizi mwendokasi, sijui express za nini?

Mnataka kuwahi ili iweje in reality hakuna mahali mnaenda (career wise) sasa mnaamka alfajiri ili iweje?
Duuu kwani hujui kwamba biashara ni asubuhi, waache wawahi wewe kama huna mpangilio wa muda shauri yako
 
Maisha ya waTz walio wengi ni ya ndege pori.

Asiporuka kwenda kutafuta chakula wasukuma wanaita 'kusoja', ama hata kama anaumwa hakuna wa kumtafutia, aweza kufa na njaa.

Maisha yetu tulio wengi bila ya kudamka kuiwahi ndoto yako ya kupata, basi waweza kukosa ridhiki ya kulisha familia kiukweli.

Hao unaowaona wanabanana kwenye miendo kasi wengi wao si watumishi wa kusema ni wafanyakazi za Serikali ama sekta binafsi, wengi ni wasaka tonge la kulisha familia zao kila siku ndiyo maana wakaitwa 'walala hoi', kwa nini wasidamke kwa kukurupuka?
Jibu tosha hili
 
Kwa Tanzania, production dividend is directly proportional to time and inversely proportional to the square of quality.

t is the most important factor of the equation.

Ukifanya kazi 12 hours a day ukaokota maembe laki 4, yumkini elfu zitakuwa nzima.

Time doesn't pay equally much in African employment system. We compensate the deficit by overworking and re-working.

Sijui unanielewa???
You have provided a simple and yet brilliant explanation.
 
Hata wao wenyewe hao unaowauliza wala hawajui hua wanawahi nini,

Ndio maana likisimama Daladala hata kama lipo tupu,watagombania ili kila mmoja anataka yeye ndio awahi kuingia kabla ya wenzake,
Pantoni ikisimama ufukweni,wanagombania kushuka,tena kwa kukimbia!
Kuingia mpirani,hata kama kila mtu ana tiketi yake,watagombania kuingia,kila mtu anataka aingie kabla ya mwenzake,

japo wapo wanaowahi shughuli zao na kuamka alfajiri ili kukwepa foleni na adha ya usafiri,

Au nasema uongo wanangu wa Daslam?
 
Back
Top Bottom