Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Issue sio kutokujua sport,shida kubwa ya Watanzania ni Wakenya....Mkenya haamini kama kutatoke siku Mtanzania amushinde kwa chochoteInahuzunisha sana, ila kinachowaponza ni uchawi mwingi...
Trolling aside .... TZ is just not a sporting nation. They only play football na hata hii football wako wako tu....as is clear for everyone to seeLeo Kilimanjaro stars wamepokea kichapo cha Wakenya kwenye mchuano wa CECAFA, juzi hapa wanawake wa Tanzania waligaragazwa na wanawake wa Kenya. Najiuliza hapa mchezo upi ambao Tanzania inafahamia kumudu kando na vigodoro kule uswazi.
Leo Kilimanjaro stars wamepokea kichapo cha Wakenya kwenye mchuano wa CECAFA, juzi hapa wanawake wa Tanzania waligaragazwa na wanawake wa Kenya. Najiuliza hapa mchezo upi ambao Tanzania inafahamia kumudu kando na vigodoro kule uswazi.
Ivi kwa nn uyu mk 254 hakuwepo kwenye basi walilo fanya yao alshabab.wamepotea watu wa maana vilaza wamebaki[emoji1][emoji1]Tunamudu kuwagegeda dd na mdm zenu tu
Leta swali lingine!
Ova
Leo Kilimanjaro stars wamepokea kichapo cha Wakenya kwenye mchuano wa CECAFA, juzi hapa wanawake wa Tanzania waligaragazwa na wanawake wa Kenya. Najiuliza hapa mchezo upi ambao Tanzania inafahamia kumudu kando na vigodoro kule uswazi.
DahIvi kwa nn uyu mk 254 hakuwepo kwenye basi walilo fanya yao alshabab.wamepotea watu wa maana vilaza wamebaki[emoji1][emoji1]
Inahuzunisha sana, ila kinachowaponza ni uchawi mwingi...
Ni haamini tu pamoja na kwamba tumekuwa tukiwashinda katika maeneo mengiIssue sio kutokujua sport,shida kubwa ya Watanzania ni Wakenya....Mkenya haamini kama kutatoke siku Mtanzania amushinde kwa chochote
Mbona juz ukufungua uzi na mchez ulifanyika ndani kwenu watoto wakawagonga nusufainali wakawatupa wakawagonga Zambia final wakabeba ndoo tayar TZ tuna ndoo 2 sasa cjui ninyi muna ngapi
Mbona hukufungua Uzi Kama huu kutujulisha Tz imagaragazwa Kama ilivyo desturi ya Kenya kuichapa Tz. Wacha majungu bro kubali kuchengwa na utulie.Mbona huzungumzii Tanzania kuwafunga kenya na kufanikiwa kufuzu CHAN mwaka huu,
Mbona huzungumzii Tanzania kuifunga kenya mwaka huu pale Uganda na tukabeba kombe 😂😂😂
Najua ni sindano la dili la SGR lililosainiwa jana ndio limekupapasa 😂😂😂
Wewe mbona huwa mkifungwa au tukiwafunga hufungui uzi.Mbona hukufungua Uzi Kama huu kutujulisha Tz imagaragazwa Kama ilivyo desturi ya Kenya kuichapa Tz. Wacha majungu bro kubali kuchengwa na utulie.