Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Wasalaam JF,
Tafadhari wanajukwaa naomba majibu naona hili swala muhimu la nchi kabisa na vizazi vyake la bandari limekaa kiushabiki wa dini naona waislam wameamua kwa makusudi kujivika uislam kuliko Utaifa wala chochote kile, nawasikia ingekuwa mzungu ndio anawekeza bandari za Tanganyika wakristo wangenyamazia. Hivi ni kweli dini inaleta uzuzu, upofu, ufala, ubazazi kiasi hiki?
Nasikitika sana hivi ni kweli udini hauna logic seriously?
Sioni hao binamu zao na hao DP world wakitumia vifungu kutetea vifungu zaidi ya kumeza la uarabu na uislam.
Ni hatari sana imefika hatua Tanganyika sio chochote mbele ya Uislam kweli?
Karma is real and her other name is a bitch.
Wadiz
Wabillah Tawfiq
Tafadhari wanajukwaa naomba majibu naona hili swala muhimu la nchi kabisa na vizazi vyake la bandari limekaa kiushabiki wa dini naona waislam wameamua kwa makusudi kujivika uislam kuliko Utaifa wala chochote kile, nawasikia ingekuwa mzungu ndio anawekeza bandari za Tanganyika wakristo wangenyamazia. Hivi ni kweli dini inaleta uzuzu, upofu, ufala, ubazazi kiasi hiki?
Nasikitika sana hivi ni kweli udini hauna logic seriously?
Sioni hao binamu zao na hao DP world wakitumia vifungu kutetea vifungu zaidi ya kumeza la uarabu na uislam.
Ni hatari sana imefika hatua Tanganyika sio chochote mbele ya Uislam kweli?
Karma is real and her other name is a bitch.
Wadiz
Wabillah Tawfiq