HIVI WATU WANAOTOA LUGHA CHAFU ZA MATUSI KUNA NINI NYUMA YAKE?

HIVI WATU WANAOTOA LUGHA CHAFU ZA MATUSI KUNA NINI NYUMA YAKE?

MR MONEY08

Member
Joined
Oct 21, 2022
Posts
62
Reaction score
30
Habari ningependa kujua hivi watu wanaopenda kutoa lugha chafu huwa wana matendo Gani machafu yaliyojificha nyuma yake?
 
Habari ningependa kujua hivi watu wanaopenda kutoa lugha chafu huwa wana matendo Gani machafu yaliyojificha nyuma yake?
kuna shetani ndani yake. Yesu alisema juu ya watu hawa kwamba, kila mtu huwa anaongea kile kilichoujaza moyo wake, na kwamba huwezi kuvuna zabibu kwenye mchongoma. yaani kama moyo wako ni mchafu, utatoa machafu tu hata ujizuie vipi. na kama moyo wako msafi, utatoa mambo masafi.

tunawaasa waokoke.
 
Nadhani ni malezi mabovu tuu toka kwa jamii aliyokulia.

Mfano 1: Kuna mtu akiongea mazungumzo ya kawaida kabisa hawezi ongea sentensi mbili bila kutamka tusi la nguoni. Na hapo haijalishi anaongea na nani. Nakumbuka hata tulikua na mwalimu wetu mmoja sekondari nae alikua anatumia sana maneno ms*nge, k*manina, nk wakati anafundisha!

Mfano 2: Mimi nyumbani kwetu sikuwahi kumsikia baba, mama, kaka, dada, au mtu yoyote akitukana matusi ya nguoni. Mpaka leo mimi ni mtu mzima lakini siwezi kabisa kutamka tusi lolote lile hadharani.
 
Nadhani ni malezi mabovu tuu toka kwa jamii aliyokulia.

Mfano 1: Kuna mtu akiongea mazungumzo ya kawaida kabisa hawezi ongea sentensi mbili bila kutamka tusi la nguoni. Na hapo haijalishi anaongea na nani. Nakumbuka hata tulikua na mwalimu wetu mmoja sekondari nae alikua anatumia sana maneno ms*nge, k*manina, nk wakati anafundisha!

Mfano 2: Mimi nyumbani kwetu sikuwahi kumsikia baba, mama, kaka, dada, au mtu yoyote akitukana matusi ya nguoni. Mpaka leo mimi ni mtu mzima lakini siwezi kabisa kutamka tusi lolote lile hadharani.
Wee , siyo mwalimu wa General studies , advance, shule Fulani hivi , hapa mjini?
 
Back
Top Bottom