Hivi waungwana Chicharito wa Man U,ameoa kweli??

Hivi waungwana Chicharito wa Man U,ameoa kweli??

nenda akakuoe wewe.......................maisha yankuhusu nini tunashindwa kushauri mgomo wa nchi nzima juu ya mafisadi tunawaza upumbaavu
 
Hayo mambo ya mgomo ingia kwenye page ya siasa,nipo kwa entertain hapa,jibu swali na sio kuachia dongo,,,,kijana aje ww?
 
majuu wachezaji wengi huwa hawaowagi, kwani wanawake wengi ni wasumbufu na wanyonyaji
 
nenda akakuoe wewe.......................maisha yankuhusu nini tunashindwa kushauri mgomo wa nchi nzima juu ya mafisadi tunawaza upumbaavu
Mweleze mjinga huyu, itamsaidia nin hata akijua!?
 
Hajaoa na hata angehitaji mke siwezi mshauri aoe Bongo, hizo n tamaa zenu tu wanawake wa Tz, hamna mapenzi ya Dhati ndio maana tulibuni jina muafaka la VICHECHE.
 
Back
Top Bottom