Hivi Wazanzibar huwa wanajiunga JWTZ kwa utaratibu gani?

Vijana wa UVCCM mmezoea kusukumiwa moto kwenye mitaro yenu
Calm down wifey,

Nimeazimia kutokukupeleka honeymoon wete this time around,

Mpaka utie adabu, uwe na heshima Kwa mumeo.

Wanawake wa siku hizi hamna staha kabisa yaani .
 
Calm down wifey,

Nimeazimia kutokukupeleka honeymoon wete this time around,

Mpaka utie adabu, uwe na heshima Kwa mumeo.

Wanawake wa siku hizi hamna staha kabisa yaani .
Angalia hapa ulivyokuwa unatanga tanga ili ukaliwe rinda
 
Wanajiunga Kama ulivyo utaratbu mwngne ila wanapewa sana kipaumbele kuliko vjana wa bara
Yan wazenji wanadekezwa sana
 
We mwanamke una gubu sana halafu punguza wivu,

Sasa hizo picha za wenzako ambao tayari nimeshawaacha unanionesha za nini.

Ukiendelea kuniudhi nitakupa talaka rasmi
Wewe ndiyo upo hapo pichani kipindi hicho unaitwa stroke
 
Kumbe kuna vijana huwa wanaletwa kutoka Zanzibar ili wajiunge JKT ?
Rais Dkt. Mwinyi wa Zanzibar tokea awe Waziri wa Ulinzi kwa Kipindi kirefu ndiyo amekuwa Daraja Kubwa la Kuwaingiza Wazanzibari wengi JKT na hatimaye JWTZ.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…