Salaam, Shalom!!
I declare interest, Mimi Rabbon ni baba wa watoto wengi, mtoto yeyote popote ni mwanangu sababu Mimi ni mwalimu wa watoto kiimani na kiroho.
Twende haraka kwenye mada, zipo athari nyingi wazazi mnawaletea watoto wenu Kwa kujua na wengine kutojua.
Ninakutana na cases mbalimbali, mtoto mwenye umri wa miaka chini ya minne anavaa miwani ya macho👀, na shida hiyo ya macho wengi Si ya kurithi, HAPANA ni smartphones!!
Siku hizi familia nyingi Zina uwezo wa kumiliki smartphones, sasa wazazi wengi Kwa uvivu, hutaki mtoto akusumbue, unanunua data Kisha unamwachia simu aperuzi kuangalia cartoons nk nk
Sasa wengine hata usimamizi wa karibu hamna, limit ya muda hamna, mtoto utamkuta chumbani taa zimezimwa anaangalia cartoon, hamjui kuwa kuangalia simu gizani kunaua haraka sana macho na uwezo wa kuona?
Mtoto chini ya miaka mitano, smartphone ya nini kumwachia? Leo mzazi una miaka 20-30 macho mazima, unaona sawa mtoto wako miaka chini ya 5 aanze kuvaa miwani? Akifikisha miaka 30 Si atakuwa kipofu?
USHAURI:
1. Mtoto chini ya miaka mitano usimpe smartphone, mwekee vipindi maalum vyenye mafunzo kwenye tv aangalie Kwa muda maalum Kwa usimamizi wako, na hakikisha Kuna mwanga wa kutosha sebuleni.
2. Acha mara Moja kumzoeza mtoto chini ya miaka mitatu kumpa smartphone, umri huo Si sahihi Kwa mtoto kuangalia simu Kwa ukaribu sababu Yeye hajui kuregulate mwanga.
3. Hakikisha mtoto wako anahudhuria mafunzo katika nyumba za Ibada Ili apate chakula Cha Roho pia.
4. Msomee BIBLIA au hadithi za BIBLIA Kutoka kwenye smartphone au vitabu ulivyonunua Ili kumsaidia kupata Elimu na Maarifa ya Mungu Ili kukusaidia malezi Bora. Pata muda wa kujielimisha Ili uweze kuwa msaada Kwa mwanao.
HITIMISHO:
Mungu amekuamini na kukupa watoto Ili uwalee, unatakiwa umlee mtoto wako katika njia impasayo maana hatoiacha hata atakapokuwa mtu mzima akiwa na macho yote yanaona!!
Mungu awabariki.
Karibuni🙏
I declare interest, Mimi Rabbon ni baba wa watoto wengi, mtoto yeyote popote ni mwanangu sababu Mimi ni mwalimu wa watoto kiimani na kiroho.
Twende haraka kwenye mada, zipo athari nyingi wazazi mnawaletea watoto wenu Kwa kujua na wengine kutojua.
Ninakutana na cases mbalimbali, mtoto mwenye umri wa miaka chini ya minne anavaa miwani ya macho👀, na shida hiyo ya macho wengi Si ya kurithi, HAPANA ni smartphones!!
Siku hizi familia nyingi Zina uwezo wa kumiliki smartphones, sasa wazazi wengi Kwa uvivu, hutaki mtoto akusumbue, unanunua data Kisha unamwachia simu aperuzi kuangalia cartoons nk nk
Sasa wengine hata usimamizi wa karibu hamna, limit ya muda hamna, mtoto utamkuta chumbani taa zimezimwa anaangalia cartoon, hamjui kuwa kuangalia simu gizani kunaua haraka sana macho na uwezo wa kuona?
Mtoto chini ya miaka mitano, smartphone ya nini kumwachia? Leo mzazi una miaka 20-30 macho mazima, unaona sawa mtoto wako miaka chini ya 5 aanze kuvaa miwani? Akifikisha miaka 30 Si atakuwa kipofu?
USHAURI:
1. Mtoto chini ya miaka mitano usimpe smartphone, mwekee vipindi maalum vyenye mafunzo kwenye tv aangalie Kwa muda maalum Kwa usimamizi wako, na hakikisha Kuna mwanga wa kutosha sebuleni.
2. Acha mara Moja kumzoeza mtoto chini ya miaka mitatu kumpa smartphone, umri huo Si sahihi Kwa mtoto kuangalia simu Kwa ukaribu sababu Yeye hajui kuregulate mwanga.
3. Hakikisha mtoto wako anahudhuria mafunzo katika nyumba za Ibada Ili apate chakula Cha Roho pia.
4. Msomee BIBLIA au hadithi za BIBLIA Kutoka kwenye smartphone au vitabu ulivyonunua Ili kumsaidia kupata Elimu na Maarifa ya Mungu Ili kukusaidia malezi Bora. Pata muda wa kujielimisha Ili uweze kuwa msaada Kwa mwanao.
HITIMISHO:
Mungu amekuamini na kukupa watoto Ili uwalee, unatakiwa umlee mtoto wako katika njia impasayo maana hatoiacha hata atakapokuwa mtu mzima akiwa na macho yote yanaona!!
Mungu awabariki.
Karibuni🙏