Hivi wazee ambao ni couples (70+)yrs huwa wana do sex?

Wapo wanao fanya sex, lakini mara nyingi sana ni wanaume...wanawake nadhani akisha fika 60 hawezi tena :biggrin:

Babu mpaa ana miaka 100+ alikuwa ana tafuta mke mwingine wakuoa.
 
Swali hilo hapo jamani naombeni majibu.

Ngoja ufikie umri huo ndio utajua...........
Kama vile vizee vinavyooa vikiwa na umri wa miaka 80 vinatumia MKUYATI au FARU DUME...............LOL
 
kwa hiyo unataka kusema Mugabe hali wali wa nazi?
 
Mbona tunafanya kama kawaida?

Kama vipi hebu nitumie gelofrendi wako uliyemchoka afu atakuja kukusimulia.
 
mada nyingine bwana,hata kuchangia unakwazika ni kama kukaa uchi mbele ya mkweo.....:A S embarassed:

hahahaha,,,,,ila ina logic jestina,,,me pia huwa najiuliza,ndo maana nimepita hapa
 
Mbona tunafanya kama kawaida?

Kama vipi hebu nitumie gelofrendi wako uliyemchoka afu atakuja kukusimulia.

lol. Unazipenda hizi opportunity eh! Utafanya dada wa watu aombe poo!
 
tusichakachue mada jamani,jamaa hajauliza kama kibabu kama asprin kinaweza kumla binti kama kongosho,ameuliza kibabu na kibibi as a couple!je wanakulana wazee kwa wazee?over 70yrs of age?
 
wanaume nina uhakika sana kuna mizee imepita 70 lakini inavotongoza visichana vidogo...ila am not too sure kuhusu wanawake wenye hiyo age
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…