Hivi wazungu wanafanyaga compliance na auditing ya misaada wanayoipa nchi za Kiafrika au wakishapewa wamepewa?

Hivi wazungu wanafanyaga compliance na auditing ya misaada wanayoipa nchi za Kiafrika au wakishapewa wamepewa?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Screenshot_20250130-103157.png
 
Ni mchezo wa give and gain.
Tuwape hela nyingi waje wazitumie ulaya
Nchi za wazungu pesa ina thamani sana , we angalia tu kwenye TV wale wasanii ila watu kule wanapata pesa kwa tabu ...Kule ndiyo maana kila kitu biashara , hao wacheza porno yote ili wapate pesa.

Kinachotokea ni kwamba waafrika wakienda kule , hawa viongozi wengi wanatumia sana pesa kwa ufahari (lavish) kama; kununua magari , kukaa kweny mahoteli makubwa . Huku Africa bado wanaagiza gari ambazo ni latest modeli , wengin wameficha pesa ndefu huku ...Rejea :Yule Raisi wa Gambia , jamal ana majengo nje ya nchi yale ypte ni sababu za wizi .

Wazungu wanapata pesa kwa tabu ila huku watu hwana future wanatumia tu .​
 
Nchi za wazungu pesa ina thamani sana , we angalia tu kwenye TV wale wasanii ila watu kule wanapata pesa kwa tabu ...Kule ndiyo maana kila kitu biashara , hao wacheza porno yote ili wapate pesa.

Kinachotokea ni kwamba waafrika wakienda kule , hawa viongozi wengi wanatumia sana pesa kwa ufahari (lavish) kama; kununua magari , kukaa kweny mahoteli makubwa . Huku Africa bado wanaagiza gari ambazo ni latest modeli , wengin wameficha pesa ndefu huku ...Rejea :Yule Raisi wa Gambia , jamal ana majengo nje ya nchi yale ypte ni sababu za wizi .

Wazungu wanapata pesa kwa tabu ila huku watu hwana future wanatumia tu .​
Huwezi kulinganisha mifumo ya utafutaji Hela Africa na Ulaya, Africa mifumo ya kupata Hela ni migumu mixer Hela Haina value, wakat wenzetu Ulaya wametengeneza njia nyingi za kupata Hela na Hela yao ina thaman kubwa.
 
Huwezi kulinganisha mifumo ya utafutaji Hela Africa na Ulaya, Africa mifumo ya kupata Hela ni migumu mixer Hela Haina value, wakat wenzetu Ulaya wametengeneza njia nyingi za kupata Hela na Hela yao ina thaman kubwa.
Ina thamani kwa wapi? Matumizi ya kule kwao ni sawa kutokana maisha yao ...Matajiri wakuba sio watu wa anasa kama bongo.

Mtu ananua saa ya billion kwa pesa za kibongo ila kwao ni kawaida , wale anaishi maisha ya juu sana kwa kulinganisha na yetu ila utaishi ya juu zaid ukiwa mtu wa anasa .
 
We hujasikia.
Trump anasema wataendelea kutoa misaada,kwanza wanataka kuchukua siku tisini kuhakiki mahesabu yao.
Sasa kila mtu anapiga kelele,'Trump hataki kutupa ARV.'"
 
Ina thamani kwa wapi? Matumizi ya kule kwao ni sawa kutokana maisha yao ...Matajiri wakuba sio watu wa anasa kama bongo.

Mtu ananua saa ya billion kwa pesa za kibongo ila kwao ni kawaida , wale anaishi maisha ya juu sana kwa kulinganisha na yetu ila utaishi ya juu zaid ukiwa mtu wa anasa .
Mzee kulinganisha life la Ulaya na Africa ni aibu kubwa, mfano mdogo Africa mtu kumilik gari tunaona kama mtu amejipata wakat ulaya ni vitu kama basic needs nyingine.

Imagine budget zao ndani ya nchi zinawatosheleza mpka Wana amua nyingine wawakopeshe Africa alafu ndio ujifananishe nao kweli.
 
Mzee kulinganisha life la Ulaya na Africa ni aibu kubwa, mfano mdogo Africa mtu kumilik gari tunaona kama mtu amejipata wakat ulaya ni vitu kama basic needs nyingine.

Imagine budget zao ndani ya nchi zinawatosheleza mpka Wana amua nyingine wawakopeshe Africa alafu ndio ujifananishe nao kweli.
Umenielewa? Kupata pesa kwao sio rahisi lazima ufanye kazi ndiyo maana watu wanabuni biashara kila siku ..

Kuhusu kukopesha ni suala la siri ya kidunia maana hata kwao kuna maskini ila wanakopesha na kupeleka pesa kweny vita ...

Swali: Bila watu kukopesha pesa waafrika pesa watatoa wapi ? Kumbuka kweny mzunguko kuna pesa zinapotea ; uchakavu .
 
Back
Top Bottom