Ni kweli kutoa hitsong ni kazi, ndio maana nikamuuliza mwamba hapo juu kwamba anamaanisha menejimenti isubiri Lavalava apate hitsong ndio waanze kumpromote kama wenzie?!Kutoa hit song sio Kazi rahisi
Mond ameshindwa kutoa hit song huu mwaka wa tano sasa itakuaje Lavalava ?
Tangu itokee Maisha na MUZIKI ya Darasa hakuna Tena hit song imetokea hapa Tz.
Lava kinamsumbua ameshindwa kutengeneza hitsong, ana nyimbo kali sana ila bado hajapata hitsong.
Mwaka unaokuja ni wa project zake na dogo mpya wanaetaka mtoa.
Kwangwaruu hata maisha na mziki iliufyataKutoa hit song sio Kazi rahisi
Mond ameshindwa kutoa hit song huu mwaka wa tano sasa itakuaje Lavalava ?
Tangu itokee Maisha na MUZIKI ya Darasa hakuna Tena hit song imetokea hapa Tz.
Akitoa Album ndo watampromote? Na hiyo except Zuchu unamaanisha niniAondoke tu usafini aende akajaribie kwengine maybe Kondegang huko,,,huwa sielewi jamaa anakwamaga wapi coz wenzake wote except for Zuchu wameshatoa album ila yeye yupo yupo tu.
Except for ( isipokuwa),,, hapo nilimaanisha wasanii wengine wote Diamond,Rayvanny na Mbosso wameshatoa album isipokuwa Zuchu na Lava Lava pekee bt Zuchu Ana umaarufa kumzidi Lava LavaAkitoa Album ndo watampromote? Na hiyo except Zuchu unamaanisha nini
So tunakubaliana kwamba Album sio kigezo ausio?Except for ( isipokuwa),,, hapo nilimaanisha wasanii wengine wote Diamond,Rayvanny na Mbosso wameshatoa album isipokuwa Zuchu na Lava Lava pekee bt Zuchu Ana umaarufa kumzidi Lava Lava
Muziki ni mega hit ila hitsong zimetoka za kutosha... Diamond ana hitsong nyingi sana, ata juzi hapa collabo zake na Mbosso & Chui ni hitsong.Kutoa hit song sio Kazi rahisi
Mond ameshindwa kutoa hit song huu mwaka wa tano sasa itakuaje Lavalava ?
Tangu itokee Maisha na MUZIKI ya Darasa hakuna Tena hit song imetokea hapa Tz.
Sio kweli.Kutoa hit song sio Kazi rahisi
Mond ameshindwa kutoa hit song huu mwaka wa tano sasa itakuaje Lavalava ?
Tangu itokee Maisha na MUZIKI ya Darasa hakuna Tena hit song imetokea hapa Tz.
Utu-AlikibaOngeza
Iokote--Maua Sama
Bia Tamu--Marioo