Hivi wenzetu wahindi hawana timu?

Hivi wenzetu wahindi hawana timu?

Mzito Kabwela

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2009
Posts
18,887
Reaction score
7,673





..Ni swali ambalo limenijia kutokana na sekeseke hili la kombe la dunia. Wadau naomba msaada kutoka kwenu kama kuna anayejua kuhusu soka huko India. Zaidi ya hayo hongera Ghana kwa kufika hapo ilipofika
 
Wana team lakini kiwango chao bado ni kidogo sana ukilinganisha na nchi nyingine katika bara lao la Asia.
 
wahindi asili yao ni cricket, mpira wa miguu waliuacha baada ya FIFA kuwawekea ngumu kucheza miguu peku...kwanzia hapo walisusa
 
wahindi asili yao ni cricket, mpira wa miguu waliuacha baada ya FIFA kuwawekea ngumu kucheza miguu peku...kwanzia hapo walisusa

Hapo penye red, unaweza kufafanua vzr naona imekaa kifix fix tu!
 
wahindi asili yao ni cricket, mpira wa miguu waliuacha baada ya FIFA kuwawekea ngumu kucheza miguu peku...kwanzia hapo walisusa
Walipo ng'ang'aniwa sana nasikia wakachaguwa makubazi...!
 
Wahindi wana timu lakini India,Pakistan,Bangladesh,Sri lanka na Nepal huwa wanafungwa mabao hadi kumi na Korea,Japan na Waarabu kwenye mechi za Asia na mchujo wa Worldcup.
 
Nilipokuwa kule Asia, nilikutana na kituko! Kuna nchi moja ndogo ambayo ni kisiwa inaitwa Maldives, ipo kusini-magharibi mwa India. Basi nilikutana na stori kwamba rais wa Maldives ametangaza kuwepo kwa siku ya mapumziko baada ya timu yao ya Maldives kuichapa India goli 1-0. Kwa hiyo wakati mnawadharau India kwa kiwango kidogo cha soka, wengine wanatangaza public holiday kwa kuichapa hiyo India!
 
Naona wahindi tunatoka nao droo.

Kwenye soka wahindi hatuwezi kabisaa! japokuwa sisi wenyewe bado viraza unajua zile kachori za piripiri zinawafanya wasiweze kuhimili mikiki ya dk 90+.
 
Kwenye soka wahindi hatuwezi kabisaa! japokuwa sisi wenyewe bado viraza unajua zile kachori za piripiri zinawafanya wasiweze kuhimili mikiki ya dk 90+.

hahahaha umenichekesha doup:A S 39:
 
hiyo ya maldiva kali! a off.Kumbe hata sisi tungemfunga Brazil na vile presidaa anvyomaind michezo inge national day oofff!
 

..ni swali ambalo limenijia kutokana na sekeseke hili la kombe la dunia. Wadau naomba msaada kutoka kwenu kama kuna anayejua kuhusu soka huko india. Zaidi ya hayo hongera ghana kwa kufika hapo ilipofika
india ni nchi kama tz. Mbona hauishangai tz? Mbona haushangai kuwa ukitoa West Africa na waarabu na SA mbona hakuna tena taifa kwenye WC?
 
india ni nchi kama tz. Mbona hauishangai tz? Mbona haushangai kuwa ukitoa West Africa na waarabu na SA mbona hakuna tena taifa kwenye WC?

Mkuu kubali tu kwamba some people are more equal than others.Tanzania si kama India, nyanja zote wametuzidi. Mpaka tutakapotambua jinsi tulivyo (Tanzania) duni, tuanze moja ndo tutaweza kuendelea. Otherwise viongozi watafisadi wee mpaka nchi i-colapse wa-kiforce wao na si nchi kulingana nao (waarabu, wahindi, wachina, wazungu n.k)
 
Jinsi tunavyoona india haisikiki katika soka ndo sawa nawe uwe india na usema Tanzania kuna timu ya Soka, watakushangaa sana. india wanatuzidi sisi wabongo Mbali kabisa........Si katika soka tu hata michezo mingine....kimaendeleo ndo tupo nyuma kabisa......
 
Mkuu kubali tu kwamba some people are more equal than others.Tanzania si kama India, nyanja zote wametuzidi. Mpaka tutakapotambua jinsi tulivyo (Tanzania) duni, tuanze moja ndo tutaweza kuendelea. Otherwise viongozi watafisadi wee mpaka nchi i-colapse wa-kiforce wao na si nchi kulingana nao (waarabu, wahindi, wachina, wazungu n.k)

Aaaaaa wapi labda wametuzidi kwa filamu tu, lakini kwa soka nehi! nehi! tumewazidi kama huamini cheki basi na viwango vya ubora wa soka vinavyotolewa na FIFA!
 
Back
Top Bottom