Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Mtu wa namna hiyo hana tofauti na anayejichubua sababu nae hataki afahamike kama ni mweusi. Ni yale yale ya kukataa ngozi, nywele, majina kifupi utumwa wa fikra
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] Toooooba!Habari zetu warembo na watanashati.
Hii tabia imeota mizizi sasa sijui kwa nini wanawake tunakuwa hivi...tena siku hizi vipodozi vya kubadilisha rangi vinatangazwa hadharani kabisa afadhali siku za nyuma watu walikuwa wanajichubua kwa kujificha.
Hivi ni kweli hivi vipodozi vya kubadilisha ngozi havina madhara kiafya? Kama vina madhara mamlaka zinazohusika zimeshindwa kuwashughulikia wanaofanya biashara hizi? Kwa kweli nashindwa kuelewa hivi huyu dada ukimuangalia picha yake ya kushoto na kulia kuna tofauti yoyote? Ipo inayovutia kuliko nyingine? Mimi naona mtu ni yule yule tu nothing more nothing less. Naombeni maoni yenu wadau
View attachment 526690
Mkuu umenena vyema kabisa!Ndiyo, kwenye jamii nyingi, hususan za watu weusi [walio na asili ya Afrika] rangi nyeupe ya ngozi huhusishwa na urembo.
Naamini ni ukweli ambao watu wengi hatuupendi, lakini ndo hivyo tena. Ukweli mara nyingi huwa ni mchungu na tulio wengi huwa tunajitahidi kuukataa waziwazi.
Hapo juu umezungumzia watu kujichubua ili kujibadili rangi ya ngozi na wawe weupe zaidi. Vipi kuhusu nywele bandia zilizonyooka? Ina maana nywele asilia za kipilipili ni mbaya, siyo?
Na vipi kuhusu majina ya kigeni siku hizi?
Unakuta mtu anaitwa Anthony Francis wakati baba ni Mgogo na mama ni Mnyiramba!
Au Maxwell John wakati baba ni Mmakonde na mama ni Mzaramo!
Hiyo mifano inanileta kwenye hoja ya kuhusisha Uafrika na uduni na Uzungu na ubora.
Hata watu wenye tabia za kishenzi huwa tunawaita 'waswahili'. Halafu tabia flani flani zinazoonekana au kudhaniwa kuwa ni za kistaarabu ndo zinaonekana ni za 'kizungu'.
Ni ndivyo tulivyo tu.
Wewe hujawahi kusikia ila zipo. Na mashiko yangu mimi wewe unaweza kuona ni upuuzi...ndo hivyo tunatofautiana
Ndiyo maana wachina, wazungu, waarab wanatucheka sana kwa kutuletea kemikali zilizo oza huku Afrika. Pia inashangaza unaweza ona mwanamke jeusiiii limevaa wigi ya kijani, nyekundu, njano, sielewi wanaona uzuri gani. Yaani baada ya kuonekana mzuri anakuwa anatisha kuwa a zombie.
Wewe unataka uzungu unaficha Sanga unabaki na Josephine Goodluck Paul mwingine anajichubua. Wote lengo ni moja- Uzungu ila njia tofauti.Sababu ambayo ni bora kuliko afya ndo hiyo natamani kuijua
Hahahaha..!!Waache tu hii tabia, sura mpya miguu ya zamani...Duuh
wakati mweusi alikua very beautiful and young, since ajibadilishe amekua ugly and old. lol.Habari zetu warembo na watanashati.
Hii tabia imeota mizizi sasa sijui kwa nini wanawake tunakuwa hivi...tena siku hizi vipodozi vya kubadilisha rangi vinatangazwa hadharani kabisa afadhali siku za nyuma watu walikuwa wanajichubua kwa kujificha.
Hivi ni kweli hivi vipodozi vya kubadilisha ngozi havina madhara kiafya? Kama vina madhara mamlaka zinazohusika zimeshindwa kuwashughulikia wanaofanya biashara hizi? Kwa kweli nashindwa kuelewa hivi huyu dada ukimuangalia picha yake ya kushoto na kulia kuna tofauti yoyote?
Ipo inayovutia kuliko nyingine? Mimi naona mtu ni yule yule tu nothing more nothing less. Naombeni maoni yenu wadau
View attachment 526690
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wewe ndugu yake Behaviourist?Urembo chura vingne mbwembwe tu