Michael Ngusa
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,637
- 463
Leo nilikuwa katika kuperuzi mtandao wa Wikileaks lakini mengi ninayoyaona ni mavujisho ya nchi za wenzetu, je kuna ubuyu wowote wa kitanzania ulishawahi mwagwa Wikileaks? naomba unipe link.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo nilikuwa katika kuperuzi mtandao wa Wikileaks lakini mengi ninayoyaona ni mavujisho ya nchi za wenzetu, je kuna ubuyu wowote wa kitanzania ulishawahi mwagwa Wikileaks? naomba unipe link.
Leo nilikuwa katika kuperuzi mtandao wa Wikileaks lakini mengi ninayoyaona ni mavujisho ya nchi za wenzetu, je kuna ubuyu wowote wa kitanzania ulishawahi mwagwa Wikileaks? naomba unipe link.
Leo nilikuwa katika kuperuzi mtandao wa Wikileaks lakini mengi ninayoyaona ni mavujisho ya nchi za wenzetu, je kuna ubuyu wowote wa kitanzania ulishawahi mwagwa Wikileaks? naomba unipe link.
na nyingine ya babu mengi kutapeli watu ardhi ipo mle!
WikiLeaks wana habari kutoka pande zote za dunia.
Moja ya habari za Tanzania soma kwenye link hii:
https://www.wikileaks.org/plusd/cables/08DARESSALAAM98_a.html
Hii iliwahi kutolewa humu JF
...ya Hosea wa takukuru na jk nayo ilitoka hukohuko...
Ya Lowassa na Richmond
Hahahaha haina madhara sana kwa kuwa imeandikwa kidhungu halafu ndefu sana....
Leo nilikuwa katika kuperuzi mtandao wa Wikileaks lakini mengi ninayoyaona ni mavujisho ya nchi za wenzetu, je kuna ubuyu wowote wa kitanzania ulishawahi mwagwa Wikileaks? naomba unipe link.
Hahahaha haina madhara sana kwa kuwa imeandikwa kidhungu halafu ndefu sana....