MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
Hawa jamaa wa kijani walikuwa wanasafirisha watu kuwasikiliza, sasa sijajua kama watawabeba kesho au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wamegawa buku tanotano kwa ajili ya nauli
Eeee! Mungu tuondolee Huu Ujinga maana ndio mtaji wa CCM.
cha kushukuru wote wale ni vilaza wakifika kupiga kura watakuwa wameshamsahau kikwete kwa hiyo watampa slaaaa, maana hawajui hata kusoma:doh:
hivi kuna sheria tanzania inayoruhusu kusafirisha watu kwenyee maloro?