MWANA WA UFALME
JF-Expert Member
- Sep 10, 2010
- 578
- 144
wamegawa buku tanotano kwa ajili ya nauli
Eeee! Mungu tuondolee Huu Ujinga maana ndio mtaji wa CCM.
cha kushukuru wote wale ni vilaza wakifika kupiga kura watakuwa wameshamsahau kikwete kwa hiyo watampa slaaaa, maana hawajui hata kusoma:doh:
hivi kuna sheria tanzania inayoruhusu kusafirisha watu kwenyee maloro?