Hivi yale mapenzi ya u boyfriend na u girl friend ya secondary kuna waliofanikiwa kuoana?

Hivi yale mapenzi ya u boyfriend na u girl friend ya secondary kuna waliofanikiwa kuoana?

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Ninaandika hii nikikumbuka tamthilia ya Kenya iliigizwa na Lupita Nyon’go kabla hajakwenda Hollywood.

Vijana walianza mapenzi shuleni. Baada ya kumaliza kidato cha nne waliamua kwenda Nairobi kutafuta maisha. Maisha yalikuwa magumu lakini kijana alianza kufanya vibarua mpaka walifanikiwa kupangisha chumba.

Dream ya kijana ilikuwa kupata kazi ya ulinzi. Bidada alipata kazi kama waitress kwenye mgahawa. Maisha nyumbani yalikuwa magunu kuna siku walipisha siku bila ya kula.

Kule kwenye mgahawa bidada alianza uchangu doa. Alianza kurudi nyumbani na chips kuku na kununua mawig na viatu vya bei mbaya.

Kijana alifanikiwa kupata kazi ya ulinzi kwa tajiri kijana huko uzunguni. Siku moja akiwa kazini tajiri kijana alirudi na changu doa akiwa ni yule girlfriend wake. Kijana alishindwa kujizuia alianzisha fujo. Aliishia kuitiwa polisi lakini bibie alimuombea msamaha ingawa kibarua kilipotea.
 
Ninaandika hii nikikumbuka tamthilia ya Kenya iliigizwa na Lupita Nyon’go kabla hajakwenda Hollywood.

Vijana walianza mapenzi shuleni. Baada ya kumaliza kidato cha nne waliamua kwenda Nairobi kutafuta maisha. Maisha yalikuwa magumu lakini kijana alianza kufanya vibarua mpaka walifanikiwa kupangisha chumba.

Dream ya kijana ilikuwa kupata kazi ya ulinzi. Bidada alipata kazi kama waiter kwenye mgahawa. Maisha nyumbani yalikuwa magunu kuna siku walipisha siku bila ya kula.

Kule kwenye mgahawa bidada alianza uchangu doa.
KWA ALIYEELEWA KILICHOANDIKWA HAPA ANIPE SAMARI AU MWONGOZO!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ninaandika hii nikikumbuka tamthilia ya Kenya iliigizwa na Lupita Nyon’go kabla hajakwenda Hollywood.

Vijana walianza mapenzi shuleni. Baada ya kumaliza kidato cha nne waliamua kwenda Nairobi kutafuta maisha. Maisha yalikuwa magumu lakini kijana alianza kufanya vibarua mpaka walifanikiwa kupangisha chumba.

Dream ya kijana ilikuwa kupata kazi ya ulinzi. Bidada alipata kazi kama waiter kwenye mgahawa. Maisha nyumbani yalikuwa magunu kuna siku walipisha siku bila ya kula.

Kule kwenye mgahawa bidada alianza uchangu doa.
Aagh wapi... unajuwa bahati mbaya wanakuwa bado na safari ndefu mbele ambayo inahusisha kiwatenga kieneo na hii hupelekea kuachana...
 
Ni kweli na wakati mpo chuo, kila mmoja amekaribia au yupo ndani ya muda wa kuoa/kuolewa... hii hufanya ndoa kuwezekana
Kwakweli vijana wanapitia mihemuko mingi, wakiwa secondary ni muda wa balehe na chemical changes hapa ndipo wanajitaji malezi kuliko kipindi chochote kile. Wengi huharibikiwa hapa.
 
Ninaandika hii nikikumbuka tamthilia ya Kenya iliigizwa na Lupita Nyon’go kabla hajakwenda Hollywood.

Vijana walianza mapenzi shuleni. Baada ya kumaliza kidato cha nne waliamua kwenda Nairobi kutafuta maisha. Maisha yalikuwa magumu lakini kijana alianza kufanya vibarua mpaka walifanikiwa kupangisha chumba.

Dream ya kijana ilikuwa kupata kazi ya ulinzi. Bidada alipata kazi kama waiter kwenye mgahawa. Maisha nyumbani yalikuwa magunu kuna siku walipisha siku bila ya kula.

Kule kwenye mgahawa bidada alianza uchangu doa. Alianza kurudi nyumbani na chips kuku na kununua mawig na viatu vya bei mbaya.

Kijana alifanikiwa kupata kazi ya ulinzi kwa tajiri kijana huko uzunguni. Siku moja akiwa kazini tajiri kijana alirudi na changu doa akiwa ni yule girlfriend wake. Kijana alishindwa kujizuia alianzisha fujo. Aliishia kuitiwa polisi lakini bibie alimuombea msamaha ingawa kibarua kilipotea.
We maza kunakoelekea unaknock
 
Hao wazungu tu ndio wanafanikiwa kwenye hayo mapenzi kwa asilimia kubwa huku kwetu ni wachache mno.
 
Hao wazungu tu ndio wanafanikiwa kwenye hayo mapenzi kwa asilimia kubwa huku kwetu ni wachache mno.
West Africa wanafanikiwa, kijana mipango mikubwa inakuwa kwenda Ulaya. Akifika anamfanyia mipango ya safari girlfriend. Wakishaweka mambo sawa anatumia barua ya posa nyumbani kwa binti.
 
Ninaandika hii nikikumbuka tamthilia ya Kenya iliigizwa na Lupita Nyon’go kabla hajakwenda Hollywood.

Vijana walianza mapenzi shuleni. Baada ya kumaliza kidato cha nne waliamua kwenda Nairobi kutafuta maisha. Maisha yalikuwa magumu lakini kijana alianza kufanya vibarua mpaka walifanikiwa kupangisha chumba.

Dream ya kijana ilikuwa kupata kazi ya ulinzi. Bidada alipata kazi kama waitress kwenye mgahawa. Maisha nyumbani yalikuwa magunu kuna siku walipisha siku bila ya kula.

Kule kwenye mgahawa bidada alianza uchangu doa. Alianza kurudi nyumbani na chips kuku na kununua mawig na viatu vya bei mbaya.

Kijana alifanikiwa kupata kazi ya ulinzi kwa tajiri kijana huko uzunguni. Siku moja akiwa kazini tajiri kijana alirudi na changu doa akiwa ni yule girlfriend wake. Kijana alishindwa kujizuia alianzisha fujo. Aliishia kuitiwa polisi lakini bibie alimuombea msamaha ingawa kibarua kilipotea.

Mimi mkewangu nilianza nae uBF gelofriend nilipomaliza form4(tulikutana kozi ya kompyuta UCC) nikaenda sekondari Minaki yeye akaenda Certifikate Chuo Kimoja Cha Mass Media ubungo (Royal) nikamaliza 6 akanikuta UD nimemtangulia mwaka(Alisoma mpk Dip 3years) wao wanasomea kule makumbusho sie M.Campus. Tukagraduate pamoja( Mie nilisoma miaka4 yeye mi3) Tukazungusha bahasha bila mafanikio hapo tuna kageto ketu Sinza E. Tuakimbilia Dubai then Abudhabi then Qatar kubeba box. Miaka 6 baadaye tukafunga ndoa. Uchumba sugu wa miaka12😂😂😂😂😂

2 Daughters and a Son. Happily married(( Ukiachana na vipindi vifupi/virefu) vya ngurumo za hapa na pale
 
Kuna kapo zilifanikiwa kuoana nyingi tu secondary niliyosoma adi leo huwa nawaza ivi kumbe ni kweli walikuwa wanafanya maana sisi tulioishia kuandikiana vibarua bila ata kushikana sjui tuliishia wapi
 
Kuna rafiki yangu alikuwa na girlfriend wake tokea darasa la tano mpaka chuo baada ya chuo binti alimpiga chini rafiki yangu na akapewa ujauzito na mtu mwenye pesa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom