Hivi yule Tapeli Nicholaus Musonye na bonanza lake la Cecafa amefia wapi?

Hivi yule Tapeli Nicholaus Musonye na bonanza lake la Cecafa amefia wapi?

Dr Matola PhD

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
60,050
Reaction score
104,466
Musonye anastahili kuitwa tapeli, huyu ndio aliyeiuwa Cecafa ambayo miaka ya nyuma wakati Katibu akiwa Mganda Cecafa ilibamba sana.

Musonye kwa kuonesha kwenye Cecafa alichokuwa anajali yeye ni pesa tu alifikia hatua Yale mashindano kuyafanya yawe yanafanyika Tanzania tu na ili apige mpunga mapema alijisahau mpaka akafikia kuzipanga Simba na Yanga kundi moja hapo ndipo Yanga ilipokataa kutumika kwa maslahi ya tumbo lake basi jamaa kwa jazba likaitisha press na kuitakana sana Yanga.

Leo nimemkumbuka huyu tapeli Musonye je yuko wapi? Na hii Cecafa bado ipo? Maana sasa hivi akili za Watanzania tumejikita CAF.
 
Simba ndio walioliua Hilo bonanza baada ya kuanza kujiwekeza zaidi kwenye michuano ya Africa.
na wao wenyewe walichangia kwa mashindano kutokuwa na ratiba maalumu.
 
Usimuite tapeli kwenye muktadha wa soka la wakati ule. Shida ya Musonye ilianza baada ya kutojua namna ya kuendeleza ulaji kwa kanuni mahsusi, japo namna alifaulu kujua kula vyema ndiyo maana alikuwa anashinda nafasi hiyo. Hizo ni enzi za walaji kama Ndolanga na Rage. Musonye alikuwa ka Sepp Blatter ila kuna kanuni ya ulaji alipindisha
 
Musonye anastahili kuitwa tapeli, huyu ndio aliyeiuwa Cecafa ambayo miaka ya nyuma wakati Katibu akiwa Mganda Cecafa ilibamba sana.

Musonye kwa kuonesha kwenye Cecafa alichokuwa anajali yeye ni pesa tu alifikia hatua Yale mashindano kuyafanya yawe yanafanyika Tanzania tu na ili apige mpunga mapema alijisahau mpaka akafikia kuzipanga Simba na Yanga kundi moja hapo ndipo Yanga ilipokataa kutumika kwa maslahi ya tumbo lake basi jamaa kwa jazba likaitisha press na kuitakana sana Yanga.

Leo nimemkumbuka huyu tapeli Musonye je yuko wapi? Na hii Cecafa bado ipo? Maana sasa hivi akili za Watanzania tumejikita CAF.
Yanga walimuweza sana.
 
Simba ndio walioliua Hilo bonanza baada ya kuanza kujiwekeza zaidi kwenye michuano ya Africa.
na wao wenyewe walichangia kwa mashindano kutokuwa na ratiba maalumu.
Simba walijitoa cecafa kidiplomasia baada ya kuona wenzao yanga wamemshtukia Musonye. Lakini Yanga ndiyo waliomshikisha adabu ya kiutu uzima musonye na cecafa yake.
 
Back
Top Bottom