Hivi Zamaradi Mketema anampenda kweli Faiza au anampotosha?

Hivi Zamaradi Mketema anampenda kweli Faiza au anampotosha?

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
There is a saying that , show me your friend , and I will tell you who you are , Msemo huu umekua ndivyo sivyo kwa hawa marafiki wa muda mrefu, namzugumzia mtangazaji na mjasiriamali Zamaradi mketema pamoja na faiza hali .

Ukiangalia personality trait ya zamaradi mketema na faiza ally , hawa watu wako tofauti kabisa , kuanzia maisha yao , jinsi wanavyotumia mitandao ya kijamii na kila kitu kwa ujumla, Mara nyingi tumekua tukiona zamaradi mketema akipost inspirational articles mbali mbali kuhusu maisha , na kwa kusoma caption zake tu , utagundua ni mtu wa namna gani , tofauti na shoga yake faiza ally ambapo mda mwingi amekua akipost matusi na kashfa mbali mbali kwa mzazi mwenzie ambaye pia ni mbunge, tukumbuke uko nyuma faiza alishawahi kutikisa na picha Tata alizopost akimuonyesha jinsi anavyojifungua , jambo lilizoua mjadala mzito kwenye mitandao ya kijamii, pia Amekua akigombana na mastaa mbali mbali na kutukana bila kujali kitu chochote.

Nikiangalia tofauti za mastaa hawa wawili , najiuliza ni kitu gani kinachowaweka karibu? Ninachujua mimi unapokua na urafiki wa kushibana na mtu , mnakua mnashare mutual interest, Ila nikijaribu kuwaangalia wawili hawa nabaki tu nashangaa

Je zamaradi Ana urafiki wa kweli na faiza ambapo Mara nyingi Amekua akipost mambo ya fedheha kwenye mitandao ya kijamii na akionekana kukaa kimya? Au ndo kila mtu na maisha yake ? , je huu ni urafiki wa kweli unapomuona rafiki yako anakosea unanyamaza kimya?
 
Hivi unafikiri ni rahisi kumuonya mtu DISHI lililoyumba!

Muacheni Zama wa watu hata kuwa rafiki na Faiza kajilipua!
 
Hivi unafikiri ni rahisi kumuonya mtu DISHI lililoyumba!

Muacheni Zama wa watu hata kuwa rafiki na Faiza kajilipua!

Aiseh dah , nawazaga kwa kweli , watu kama gigy na umber lulu wakiwa marafiki mtu hushangai coz akili zao nyingi zinaendana , Ila apa kwa faiza na zama nashindwa kuelewa kabisa🤣🤣🤣
 
Simply " tu"... ukiona watu ni marafiki basi " tambua kuna kitu kina waunganisha ".... huwenda kuna mfanano wa kitabia baina yao " lakini mmoja wapo anajaribu kufake "tabia yake kwenye public

Hata Mimi nimefikiria hivyo pia , kuna kitu kutoka kwa zamaradi hatukijui , kuna tabia Anaficha ambayo wanaendana na faiza , zama she is a respectable woman but urafiki wake na faiza unatia mashaka kwa kweli
 
Aiseh dah , nawazaga kwa kweli , watu kama gigy na umber lulu wakiwa marafiki mtu hushangai coz akili zao nyingi zinaendana , Ila apa kwa faiza na zama nashindwa kuelewa kabisa🤣🤣🤣
Labda wanaurafiki wa kibiashara tu...
 
Faiza bana bado anampenda sugu ila ndo hivyo tena maji yakishamwagika hayazoleki
 
Hata Mimi nimefikiria hivyo pia , kuna kitu kutoka kwa zamaradi hatukijui , kuna tabia Anaficha ambayo wanaendana na faiza , zama she is a respectable woman but urafiki wake na faiza unatia mashaka kwa kweli
Ndio hivyo binamu"...
 
Mi naamini urafiki sio lazima mfanane kwa kila kitu inabdii kumkubali rafiki yako alivyo na kumpenda alivyo nadhan zama ndio anachofanya unadhani anaweza mbadilisha faiza?tusitake kuwa urafiki na watu kwa nia ya kuwabadili walivyo
 
kabla hujamuhukumu mtu mjue kwanza wote hapa mnamfahamu Faiza ila mkimjua hata nyie mtapenda kuwa nae
 
Back
Top Bottom