Wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi?
Maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo, mara heee sijui Mlimani City mara pete ya uchumba na Mond.Ghafla ikawa kimyaaaaaaaaa.
Au karudi kwa katunzi?
Maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo, mara heee sijui Mlimani City mara pete ya uchumba na Mond.Ghafla ikawa kimyaaaaaaaaa.
Au karudi kwa katunzi?