wabongo bwana...vitu vingine ni kupotezea tu maisha ya watu hayo hayakuhusu
Yupo kashozi analima ndizi, kuna tatizo?
wait after two weeks
mkuu tunataka tujue tukamilishe le project
diamond alisema wana project...so yote yaliyofuata ilikuwa ni maigizo tu na ndio project yenyewe
wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi? maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo! mara heee sijui mlimani city mara pete ya uchumba na mond.ghafla ikawa kimyaaaaaaaaa.....au karudi kwa katunzi?
Hahahaaaaa kama nawaona vile hilo neno lilivyowachoma!
Nzuri mkuu, mbona kimya kingi?haaaaa! nifah my best mambo za masiku
Nzuri mkuu, mbona kimya kingi?
Tulikungoja sana wenzio kwenye shamra shamra za tuzo 6 za King hatukukuona.
Poa poa karibu tena unichefulie watu roho.mkuu nilipata dharula kidogo bana
Than what?
Poa poa karibu tena unichefulie watu roho.
Loading.......
wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi? maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo! mara heee sijui mlimani city mara pete ya uchumba na mond.ghafla ikawa kimyaaaaaaaaa.....au karudi kwa katunzi?
Than what?