wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi? maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo! mara heee sijui mlimani city mara pete ya uchumba na mond.ghafla ikawa kimyaaaaaaaaa.....au karudi kwa katunzi?
sio Than ni Then!!
Next week Ana jifungua mtoto upo
kwani wewe ni daktari au mtabiri?
wakuu kujeni hapa tujuzane hivi yule shemeji yetu ZARI kaishia wapi? maana zilipigwa swaga kibao hapa mara harusi mara ana ujauzito mara hoooo! mara heee sijui mlimani city mara pete ya uchumba na mond.ghafla ikawa kimyaaaaaaaaa.....au karudi kwa katunzi?
Kwan we ujui mie n nani me n yule kijana ambaye wazazi wko walikuonya kuhusu mie unankumbuka 😎 na swali kwanza iyo K inasimama kwa neno gani
Kiswahili for real 😀😀😀😀
swali jingine?
Umekula.? Kiswahili 4 life
Mkuu hari ya Wema kiuchumi sio nzuri kbs kayumba sn yule mdada.juzi nilimuona mahari aiisee ile MICHIRIZII inaozungumzwa nilijua ni utani yani imemfumka kweli kweli halafu washauri wake wangemshauri avae nguo za kufunika mwili wote.Ila Mama michirizi umri na uzuri vinamtupa mkono yani ndo kunakuchwa tena hawezi kula vichwa km zamaniDaah ila bora zari anapost hata pic 1 kwa cku ila huyo mama michirz zepetunga ndo kaua cku 3 mpaka 4 bila post yoyote daah maisha haya kama gwalide tu.
Mambo ya carolight hayo.....Mkuu hari ya Wema kiuchumi sio nzuri kbs kayumba sn yule mdada.juzi nilimuona mahari aiisee ile MICHIRIZII inaozungumzwa nilijua ni utani yani imemfumka kweli kweli halafu washauri wake wangemshauri avae nguo za kufunika mwili wote.Ila Mama michirizi umri na uzuri vinamtupa mkono yani ndo kunakuchwa tena hawezi kula vichwa km zamani
Mambo ya carolight hayo.....
nmeona somewhere eti almanusra akamatwe huko singida akitoa rushwa ya thermosi na hotpot ha ha ha
Mambo ya carolight hayo.....
nmeona somewhere eti almanusra akamatwe huko singida akitoa rushwa ya thermosi na hotpot ha ha ha
Kweli? Nasikia toka aunt ajifungue kamtengenezea bifu!
Kama zarinah vile yani kwenda kumuona huku umevaa white kiingilio milioni....Mimi huyu dada nilimzarau hajitambui naweza kusema jina lake tu ilikuwa ni mtaji kabisa yani Wema ilikuwa angekuwa anajitambua angekuwa milionea umaarufu aliokuwa nao angeutumia kutengeneza pesa sasa kautumia vibaya na hivi ndo anaenda kuchuja hana soko tena.na ndio ametengeneza makundi huko Insta yani imekuwa km vita na wote wanamharibia
Huo urafiki wa kizaramo kushinda wanafatana fatana na nguo sare utadhani wanaenda kwenye msuto nani anautakaKweli? Nasikia toka aunt ajifungue kamtengenezea bifu!
anagombea vita.nda maalum nini?Mambo ya carolight hayo.....
nmeona somewhere eti almanusra akamatwe huko singida akitoa rushwa ya thermosi na hotpot ha ha ha