Hivi zile jezi feki zilizo kamatwa za mabilioni zimeishia wapi jamani?

Hivi zile jezi feki zilizo kamatwa za mabilioni zimeishia wapi jamani?

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Jaman kuna miujiza hii dunia haisemeki mnakumbukaga jaman zile jezi feki wakatuambia za mabil na ma tv yakaonyeshwa

Akatoke mh mmoja sijui kama yuko madarakan akasema hizi jezi tra wazizuie zisitolewe

2.watu tukaulizana kama docs zimeonesha muhusika kalipa TRA hajulikan mns zile pesa zililipwa na jina la nani

3.Swali mpaka leo hii kuna mtu anajua zile jezi zimepelekwa wapi je zimesharuhussiwa kuingia mtaani

4. aliezirusu nani na je mbona amjatuambia jamani mbele ya ma tv. Na kama ndio nani karuhusu

Napita tu

Soma Pia: Kontena zaidi ya 2 ya Jezi feki zinazokadiriwa kuwa na thamani ya zaidi ya Tsh. Bilioni 2 zakamatwa
 
JAMAN KUNA MIUJIZA HII DUNIA HAISEMEKI

MNAKUMBUKAGA JAMAN ZILE JEZI FEKI WAKATUAMBIA ZA MABIL NA MA TV YAKAONYESHWA

AKATOKE MH MMOJA SIJUI KAMA YUKO MADARAKAN AKASEMA HIZI JEZI TRA WAZIZUIE ZISITOLEWE

2.WATU TUKAULIZANA KAMA DOCS ZIMEONESHA MHUSIKA KALIPA TRA HAJULIKAN MNS ZILE PESA ZILILIPWA NA JINA LA NANI

3.SWALI MPAKA LEO HII KUNA MTU ANAJUA ZILE JEZI ZIMEPELEKWA WAPI JE ZIMESHARUHUSSIWA KUINGIA MTAANI

4. Aliezirusu nani na je mbona amjatuambia jamani mbele ya ma tv


4.NA KAMA NDIO NANI KARUHUSU

napita tu
🤔🤔🤔🤔
 
Ali Kamwe alitaka kurusha ngumi siku Ile baada ya kuona kamera 😂😂
 
Back
Top Bottom