Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi niliomba wilaya ya bukombe,,dah huenda waliniita ila sikuona gazeti dah bora wangekuwa wanatutumia msgMbona watu walishaitwa na kupangwa kazini, uliomba wilaya gani ili nikuangalizie mana mpaka leo gazeti lenye majina ya walioajiliwa ninalo? Una sifa zipi kwani inawezekana ukawa huna sifa ndo mana walikupiga chini. Sifa za watendaj kama unakumbuka ni zipi walikuwa wanataka.
Mbona watu walishaitwa na kupangwa kazini, uliomba wilaya gani ili nikuangalizie mana mpaka leo gazeti lenye majina ya walioajiliwa ninalo? Una sifa zipi kwani inawezekana ukawa huna sifa ndo mana walikupiga chini. Sifa za watendaj kama unakumbuka ni zipi walikuwa wanataka.