Nuran Jr
JF-Expert Member
- Jul 15, 2017
- 273
- 234
Ikumbukwe wakati wanatawazwa mabingwa wapya wa vodacom premier league watani wa yanga a.k.a wahapahapa fc untill further notes walisisa kuvaa medani za mshindi wa pili..walihisi kuwa wao ndio washindi..sasa zile point za 3 walizoenda kudai FIFA zimeishia wapi..??? naombeni namba ya Hadji MNARA nimpigie...maana amekuwa kimya kama mkulima wa bange anasubiri wateja..............VIVA YOUNG AFRICANS
I BLNG 2 JESUS CHRST
I BLNG 2 JESUS CHRST