Wanasubiri mzigo wa DHL.Ikumbukwe wakati wanatawazwa mabingwa wapya wa vodacom premier league watani wa yanga a.k.a wahapahapa fc untill further notes walisisa kuvaa medani za mshindi wa pili..walihisi kuwa wao ndio washindi..sasa zile point za 3 walizoenda kudai FIFA zimeishia wapi..??? naombeni namba ya Hadji MNARA nimpigie...maana amekuwa kimya kama mkulima wa bange anasubiri wateja..............VIVA YOUNG AFRICANS
I BLNG 2 JESUS CHRST
Wanasubiri mzigo wa DHL.
Bado anashangilia kufunguliwa na yuko bize na Simba Day kwa sasa! Jana nilimsikia anasema.... wameonewa sana na wao wameonea sasa... Point tatu si hoja tena kwakeIkumbukwe wakati wanatawazwa mabingwa wapya wa vodacom premier league watani wa yanga a.k.a wahapahapa fc untill further notes walisisa kuvaa medani za mshindi wa pili..walihisi kuwa wao ndio washindi..sasa zile point za 3 walizoenda kudai FIFA zimeishia wapi..??? naombeni namba ya Hadji MNARA nimpigie...maana amekuwa kimya kama mkulima wa bange anasubiri wateja..............VIVA YOUNG AFRICANS
I BLNG 2 JESUS CHRST
Wako na Manji pahala salama!Point zimekuja ila kwa kupitia email ya Aveva na si unajua tena Aveva yupo wapi sasa hivi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini ukose furaha kwa maneno ya mpika vitumbua?Ningekuwa shabiki wa Simba ningekuwa sina furaha, si kwa madongo haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani ukose raha kutokana na kelele za vyuraNingekuwa shabiki wa Simba ningekuwa sina furaha, si kwa madongo haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Ikumbukwe wakati wanatawazwa mabingwa wapya wa vodacom premier league watani wa yanga a.k.a wahapahapa fc untill further notes walisisa kuvaa medani za mshindi wa pili..walihisi kuwa wao ndio washindi..sasa zile point za 3 walizoenda kudai FIFA zimeishia wapi..??? naombeni namba ya Hadji MNARA nimpigie...maana amekuwa kimya kama mkulima wa bange anasubiri wateja..............VIVA YOUNG AFRICANS
I BLNG 2 JESUS CHRST
Eti zimetumwa kwa address ya Kaburu. Watazipata akitoka Keko