kifimbocheza_
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 1,119
- 1,095
Dullah analeta ushikaji hadi kwny kazi....ndani ya mwaka mmojabtu zimekosa mvuto.hahahaha ameziharibu Dullah
Itakuwa eeeh?zipo ila muda bado
Tunzo zinafanyika na mshindi kashajulikanaWCB kutoshiriki kwenye hizi Tuzo,kumewaharibia soko...kwa hiyo wameona bora watemane nazo tu kuliko kutrade on loss!
Kwa sasa hivi hapa tz, matukio ya namna hii kama WCB wakikosekana/hawashiriki huwa mvuto unapungua au unakosekana kabisa ktk tukio husika.