Hivi zoezi la katiba mpya limekufa kabisa

Hivi zoezi la katiba mpya limekufa kabisa

Kilosaone

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2015
Posts
407
Reaction score
219
Jamani habari zenu.

Napenda kuuliza hivi zoezi la katiba mpya hsliwezi kufufuliwa?

Maana tume spend Pesa nyingi kwenye lile zoezi lkn matokeo yake tumeificha makabatini.

Mm kwa maoni yangu wangeifufua tu zoezi liendelee.
 
Tusubiri budget ya mwaka huu kama watasema kitu.
 
Nafikili JPM katika kipindi chake cha pili kabla hajamaliza kipindi chake cha kutumikia nchi 10 years itashughulikiwa katiba mpya.
 
CCM wakimkabidhi ukubwa Magu atatuletea katiba ya warioba
 
Mambo haya yanafanyika hovyo tu kulinda interests za kikundi fulani cha watu. Hakuna anayejali tena kuhusu mchakato wa katiba mpya. Serikali haiongei ipo kimyaaaa...ila tutaendelea kusubiri.
 
CCM wakimkabidhi ukubwa Magu atatuletea katiba ya warioba
Thubutu, CCM na Katiba ya Warioba ni kama mbwa na chatu, wanaiogopa katiba mpya kama ukoma. Mbwa, pamoja na ujanja na mbio zake zote, mbele ya chatu hafurukuti. Kwanza, huyo Magufuli mwenyewe, hiyo Katiba ya Warioba itamwacha salama?
 
Back
Top Bottom