Hivii....ati ualimu ni taaluma ya watu mbofu mbofu?

Hivii....ati ualimu ni taaluma ya watu mbofu mbofu?

mmteule

JF-Expert Member
Joined
Oct 3, 2011
Posts
5,883
Reaction score
14,600
iweje unaingia darasani umevaa mlegezo kiunononi?iweje unaingia kufundisha darasani una headphone masikioni?iweje unavimendea vitoto vidooogo?unafundisha umekaa juu ya meza?unaingia kufundisha uko bwiiiiiii!!!!!bora Albert Mnali alivokuwa anawacharaza bakora
 
iweje unaingia darasani umevaa mlegezo kiunononi?iweje unaingia kufundisha darasani una headphone masikioni?iweje unavimendea vitoto vidooogo?unafundisha umekaa juu ya meza?unaingia kufundisha uko bwiiiiiii!!!!!bora Albert Mnali alivokuwa anawacharaza bakora

Iweke vizuri nichangie, naona imekaa kimipasho zaidi
 
kwan perfomance ya hao watoto yakoje kama nzur hakuna shida kabisa ,hata anaingia na pombe ila kama anafelsha ndio tatipzoooo.
 
We ni mwafunzi na utakuwa umechapwa, acha jazba ongea kwa vituo na ueleweke, walimu kuchapwa viboko haikusaidii chochote, kwani anayevaa mlegezo si anatokea nyumbani? wazazi wapo au hawapo? basi wazazi ndo wachapwe kwanza!
 
sijui taaluma ulonayo we uliepost hii thread ila ninachojua we si mwalimu manake umeonesha kuwaponda but nataka ujue you can not value any profession if your mind is not brushed with some body and is the only teacher who can do that ila naona umesahau kidogo kwamba aliekuwezesha kuimba hiyo baadhi ya mipasho pia ni mwalimu ok najua hujui ila ukweli ndo huo hakuna mtu kazi ambayo inakosa wnaovunja profesonal code of conduct so usiseme huyo mediocre teacher uliemuona huko kwenu anajustfy kuwa ualimu ni kazi ya watu mbofu mbofu.HUNA HOJA JIESHIMU NA INASTAHILI BURN.
 
sijui taaluma ulonayo we uliepost hii thread ila ninachojua we si mwalimu manake umeonesha kuwaponda but nataka ujue you can not value any profession if your mind is not brushed with some body and is the only teacher who can do that ila naona umesahau kidogo kwamba aliekuwezesha kuimba hiyo baadhi ya mipasho pia ni mwalimu ok najua hujui ila ukweli ndo huo hakuna mtu kazi ambayo inakosa wnaovunja profesonal code of conduct so usiseme huyo mediocre teacher uliemuona huko kwenu anajustfy kuwa ualimu ni kazi ya watu mbofu mbofu.HUNA HOJA JIESHIMU NA INASTAHILI BURN.

dats tru kaka
 
iweje unaingia darasani umevaa mlegezo kiunononi?iweje unaingia kufundisha darasani una headphone masikioni?iweje unavimendea vitoto vidooogo?unafundisha umekaa juu ya meza?unaingia kufundisha uko bwiiiiiii!!!!!bora Albert Mnali alivokuwa anawacharaza bakora

mbona taarubu nyingi!!!..hii thread haijanivutia.
 
Msimlaumu sana aliyepost mana amejustify kwamba yeye IS A MERE WALKING CORPSE. Hajui asemacho.
 
nakubaliana nawe ndugu,cha msingi hapa ni kujiuliza:kwa nini walimu wanaonekana shimo la taka?kila kibaya kionekanacho kwa walimu ni gumzo.mi namashaka sana kuhusu vijana wa kitanzania tunakurupuka bila hata ya kufikiri kwa kina kwa nini haya yako hivi,nitatoa mfano;mara nyingi tunaona wanafunzi ndio wanaopewa zawadi wakifanya vizuri na sio walimu waliowawezesha kufaulu na kama ipo basi kwa nadra sana:kwa nini?tafakari sana ndugu kisha utakubaliana nami.kwa hiyo kufanya hivi ni kuonesha mabadiliko ya mfumo mzima wa elimu ikiwa ni pamoja na kuboresha maisha ya walimu ili wapende kazi na kuthamini kazi yao kama kazi nyingine yeyote ile na kuendana na wakati kwani nyakati hizi sio zile za mwalimu kuogopana na kunyenyekeana,la hasha!ni wakati wa "information"na mabadiliko na ndio maana vijana siku hizi tunaonekana kama hatuna maadili kumbe mambo yamebadilika.NI ZAIDI YA FIKRA NA HIVYO YAHITAJI BUSARA
 
mbona ukweli unauwauma jaman????? wangapi ni walimu kwa kupenda taaluma hiyo??? au mmekua walimu kwa kuwa ndiko mokopo ya masomo ya juu inapatikana kiurahisi??? hoja yangu mjirekebishe ili mthaminiwe na jamii ya wasomi wengine!i
 
mbona ukweli unauwauma jaman????? wangapi ni walimu kwa kupenda taaluma hiyo??? au mmekua walimu kwa kuwa ndiko mokopo ya masomo ya juu inapatikana kiurahisi??? hoja yangu mjirekebishe ili mthaminiwe na jamii ya wasomi wengine!i

1. Badili hiyo title ya post yako, haiendani na unachoongea.
2. Unapozungumzia neno "mwalimu" haieleweki unazungumzia mwalimu gani kwani; anaefundisha vyuo vya veta
nae anaitwa mwalimu, anaefundisha uganga wa kienyeji nae ni mwalimu, anaefundisha mamiss kutembea pia jina ni

hilohilo, anaefundisha askari pale ccp nae ni vivyo hivyo, anaefundisha shule ya awali, msingi, sekondari, A-level,
vyuo mbalimbali na hata vyuo vikuu wanawaita maprof. ma doctors lakini ki msingi bado wataitwa walimu tu.

3. Usidhani ni walimu wote kwa maana yoyote ile iwayo wanasoma kwa mikopo, Mwalimu wa diploma ya elimu
anakopeshwa na nani? Mwalimu wa daraja IIIA uliona akikopeshwa?

4. Usipoteze muda wako wala wa watu wengine kujadili mambo yasiokuwa na maana, kama hujui jambo uliza
utajibiwa na kama hujafanya utafiti usilete pumba hapa, hata kama title yako ingekuwa kwamba walimu wote ni
vichwa maji, je wewe ambaye leo mwalimu amekutoa tongotongo si ungekuwa kichwa ma...i? ( uchafu utokao
katika mwili wa mnyama kupitia njia ya haja kubwa)

4
 
Any way ngoja nifanye kama nimekuelewa, ila kabla ya kuchangia naomba mnisaidie majibu ya maswali haya;
1. Hivi ni kwa nini mwl. wa shule za msingi na sekondari wengi wao wanaishi maisha dhalili sana?
2.Hivi ni kwa nini walimu hawa ndio wanaongoza kwa kuidai serikali madeni?
3.Hivi walimu hawa wanafanya kazi masaa mangapi kwa siku?
4.Hivi ni walimu hawa ndio waliotufunza lugha na hizi herufi tunazounga na kuwasiliana hapa?
5.Hivi kwa nini fani ya huu uwalimu ni dhalili hivyo kwenye jamii?
6.Tafakari
 
Wewe ulioandika hii thread unafikiri kwa kutumia uti wa mgongo...kuadhibiwa na mwalimu wako isiwe sababu ya kuwaponda walimu wote..mbona unatumia muda wako na kuongelea upuuzi?...mwalimu huyohuyo unaemtusi ndo amekufikisha hapa na kutambua dunia kisha ukapata uwezo wa kuandika ujinga wako katika mtandao wa JF..Je bila ya mwalimu ungeweza kuandika upuuzi wako huu?..nyinyi ndo wale wanafunzi wanaoandika bongo flava kwenye mitihani ya Taifa.Mbona huzungumzii mambo mazuri ya walimu?..ACHA ULIMBUKENI NA UMBUMBU!
 
Back
Top Bottom