tunajifunza nini,mtazamo gani juu ya tcu tunauweka,hawa walioupload wapepata wapi nyaraka hizi za umma,wadau wa elimu twajenga twabomoa? Na nyinyi waselectiwa mnashangilia 2
kwani selection ni mtihani ambao hautakiwi kuvuja au ni siri ambayo haitakiwi kujulikana halafu hata kama ni lawama si za tcu nahisi ni chuo husika!!
kwa upande wangu binafsi sioni kitu kibaya na je HKMU ambao wamewatumia successful applicants wao emails unawazungumziaje????
tunajifunza nini,mtazamo gani juu ya tcu tunauweka,hawa walioupload wapepata wapi nyaraka hizi za umma,wadau wa elimu twajenga twabomoa? Na nyinyi waselectiwa mnashangilia 2
wadau tunatakiwa tujivunie hilo sabab teknolojia imekua..yan hadi wabongo tunafanya hacking
wadau tunatakiwa tujivunie hilo sabab teknolojia imekua..yan hadi wabongo tunafanya hacking
Ungekua unajua source ya haya majina wala usinge thubutu kusema hivyo.
tunajifunza nini,mtazamo gani juu ya tcu tunauweka,hawa walioupload wapepata wapi nyaraka hizi za umma,wadau wa elimu twajenga twabomoa? Na nyinyi waselectiwa mnashangilia 2
tunajifunza nini,mtazamo gani juu ya tcu tunauweka,hawa walioupload wapepata wapi nyaraka hizi za umma,wadau wa elimu twajenga twabomoa? Na nyinyi waselectiwa mnashangilia 2