Hivu Idris akiingia 18 za mpoki atatoka salama?

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Huyu kijana idris Sultan amekuwa akisifika kukejeli mastaa kibao hapa bongo, Sasa najiuliza hivi siku huyu idris akiingia 18 za Mujuni almaarufu mpoki kweli atatoka salama Huyu Dogo?

Ikumbukwe pia nae mpoki anasifika kwa kukejeli na kuaibisha mastaa wenzake...
 
Ebu kimbia urudi huko
[emoji125], instagram utuletee alichofanya Sultan Said Seyyed wa oman
 
Aisee mpoki ni shugguli nyingine ile, Nakumbuka katika ugawaji wa tuzo za Kilimanjaro music awards mpoki alikuwa mc aliwachambia wasanii tishu pepa ya chuma mpaka wasanji wengine wakaanza kutoka ukumbini,,,,Idris afanye chochote ila asiingie kwenye anga za bepari la kihaya....ATAPATA TABU SANA
 
Usimfananishe Mpoki na huyo chekechea.
"Hata bata awe mweusi vipi atataga yai jeupe" noumaaaa
 
kwaiyo idris na billnas nani anakula mwenzie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…