Kimbakuli
JF-Expert Member
- Jul 11, 2013
- 408
- 435
Kelele nyingi sana zilipigwa kwamba kuna viwanda vingi vilijengwa awamu iliyopita lakini hivyo viwanda mbona hutuvifahamu au ilikuwa ni habari ya guantity sio quality!
Kiwanda kimoja tu cha kuzalisha saruji cha tajiri Dangote kilichojengwa awamu ya mkwere kule umakondeni si tu kinajulikana Tz bali hata nchi jirani wanakifahamu, malori zaidi ya elfu1yaliletwa kwa ajiri ya kusupply saruji ndani na nje ya nchi, Vijana kutoka ndani na nje nchi walifurika Mtwara kufukuzia ajira, vyumba vya kupanga vilipanda sana kwa sababu ya demand kuwa kubwa.
Kifupi kiwanda hiki kilileta positive effect kubwa sana pale Mtwara Mikindani, sasa hivi viwanda elfu4 vya kayafa mbona sivifahamu au tukiviunganisha vyote thamani yake ndo tunapata kiwanda kimoja cha Dangote.
Jifunze kitu apa, acha kupiga kelele nyingi sana kuhsu ulichofanikiwa instead acha ulichokifanya kiongee chenyewe na watu watakusifu tu.
Kiwanda kimoja tu cha kuzalisha saruji cha tajiri Dangote kilichojengwa awamu ya mkwere kule umakondeni si tu kinajulikana Tz bali hata nchi jirani wanakifahamu, malori zaidi ya elfu1yaliletwa kwa ajiri ya kusupply saruji ndani na nje ya nchi, Vijana kutoka ndani na nje nchi walifurika Mtwara kufukuzia ajira, vyumba vya kupanga vilipanda sana kwa sababu ya demand kuwa kubwa.
Kifupi kiwanda hiki kilileta positive effect kubwa sana pale Mtwara Mikindani, sasa hivi viwanda elfu4 vya kayafa mbona sivifahamu au tukiviunganisha vyote thamani yake ndo tunapata kiwanda kimoja cha Dangote.
Jifunze kitu apa, acha kupiga kelele nyingi sana kuhsu ulichofanikiwa instead acha ulichokifanya kiongee chenyewe na watu watakusifu tu.