Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa mabonanza tu nawapaga saluti...ligi inakuja
Kama ni mabonanza mkifungwa mbona mnatimua benchi nzima la ufundi. Tena bora hata mwaka huu mliletewa mafundi viatu toka Rio de Janeiro, mwaka jana timu ilikuwa inaongoza ligi lakini baada ya kupigwa vitatu tu benchi nzima likaondoka.
Halafu yule mhindi kashtuka hapeleki timu Uturuki tena, maana ikipelekwa Simba akija anapiga tatu, hasara na hasira inabaki kwake, at least mwaka huu haikwenda imepigwa Viwili tu.
Logaloga mlimtimua katika mechi gani? Polite reminder: Katika bonanza la Simba day, Simba ilifungwa na ZESCO ya Zambia.
Unakumbuka Simba ilikuwa inashika nafasi ya ngapi katka ligi?
Bila shaka yoyote ni Simba pekee ambayo inaweza kumvumilia kocha hata aboronge nusu msimu lakini sio Yanga inayopelekeshwa na mtu mmoja kisa vishilingi vyake.
Loga amemaliza ligi aliwa nafasi ya nne tena na yenyewe tia maji tia maji, ugomvi na wachezaji kila siku wenyewe mlikuwa mnaona uwanjani. Kosa moja mchezaji anatolewa nje, kilichomuondoa Loga sio Zesco ni mkusanyiko wa vitu vingi.
Nikuulize tu mtangulizi wa Maximo mlimfukuza kwa kosa gani na wakati timu ilikuwa inaongoza ligi kama sio Mtani Jembe 01?
hii nimeipenda, na ndiyo maana Yanga huwa haifiki mbali Kimataifa.........nadhani mmenielewaukitaka kuwavuruga yanga kisaikolojia uwanjani timu ivae jezi nyekundu
na simba je kwanini haifiki mballi kwenye ligi kuu?hii nimeipenda, na ndiyo maana Yanga huwa haifiki mbali Kimataifa.........nadhani mmenielewa
na simba je kwanini haifiki mballi kwenye ligi kuu?
hii nimeipenda, na ndiyo maana Yanga huwa haifiki mbali Kimataifa.........nadhani mmenielewa
Sitaki kubishana na wewe. Nataka nikukumbushe kuwa mwenendo wa timu kwenye ligi mlishauvumilia. Mkamsainisha mkataba mpya wa mwaka mmoja, mkaingia kwenye bonanza lenu ndani ya wiki 2 tangu mkataba usainiwe mkafungwa, ukawa mwisho wa Logaloga.