Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Watatumia mfumo mwingine wa umeme siyo tanesco
Kila kitu ni hovyoo Tz so siipandi nisije nikafa
Mfumo gani wakati majenereta yanazima pale lupasoWatatumia mfumo mwingine wa umeme siyo tanesco
Treni za umeme huwa na power storage module...(kama betri hivi)
Mm ccm lialiaNyie ba-vichaaa asubuh asubuh tu mmeanza kujadili mashudu.
Kwa matumizi ya dharura ya mda mfupi sana, haiwezi kuwa mbadala wa umeme kukatika
Umeshapaki maana ndio nakuja dar soon so jiandae kuvaa chupi ya chumaUkifa tutakufa wote
Umeshapaki maana ndio nakuja dar soon so jiandae kuvaa chupi ya chuma
Huoni Makamba anaongozana na huyo MD wa Tanesco kwenda bwawani umeme wa Treni utakakofuliwa! Tuombe Mungu tu aepushe majanga huko mbele.Tanesco ndio main supplier wa umeme
Kaz ipoeti na wana mpango wa kuuzia nchi jirani huo umeme usio na uhakika
Haa Unajua Ni Kama Kaole Sanaa Group, Watawauzia Nani Huu Unazima Wenyeweeti na wana mpango wa kuuzia nchi jirani huo umeme usio na uhakika