Hizi ajira za Ualimu 2024 nahisi zitagubikwa na kishika uchumba kiasi kikubwa sana kwenye kupata kazi

Hizi ajira za Ualimu 2024 nahisi zitagubikwa na kishika uchumba kiasi kikubwa sana kwenye kupata kazi

Jamaa Fulani Mjuaji

Senior Member
Joined
Jul 25, 2020
Posts
155
Reaction score
278
Huu mwaka nahisi kutakuwa na kujuana sana REJEA kilichotokea mwaka Jana 2023 Pale Iringa walipokua wanataka kuajiri Watendaji Mpaka Serikali ikaingilia Kati kwa sababu ya Mivutano ya Mimi Namtaka Nimweke huyu na Mwingine anataka wake, Ajira za Kufanyiwa usaili zinagubikwa sana na Rushwa hasa kwa wakina Dada wanalaghaiwa sana.

Serikali ingeangalia Vema Kuwe na Muundo wa Wazi Bila kupendelea Watoto wa wenye Majina.
 
Huu mwaka Nahisi kutakuwa na Kujuana Sana REJEA kilichotokea mwaka Jana 2023 Pale Iringa walipokua wanataka kuajiri Watendaji Mpaka Serikali ikaingilia Kati kwa sababu ya Mivutano ya Mimi Namtaka Nimweke huyu na Mwingine anataka wake, Ajira za Kufanyiwa usaili zinagubikwa sana na Rushwa hasa kwa wakina Dada wanalaghaiwa sana.

Serikali ingeangalia Vema Kuwe na Muundo wa Wazi Bila kupendelea Watoto wa wenye Majina.
Rushwa TANZANIA inafadhiliwa Na CCM
 
Wakifanya utumishi hata ukitaka kubebwa hakikisha unafaulu mtihani
 
Back
Top Bottom