Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
asantePesa. Watu ni masikini sana.
Una jicho la TaiPesa hiyo mbona inaonekana kabisa
Raisi wa Zanzibar yuko pemba mda huo.Zina 5000 ndani. Kama sikosei kuna mwamba alilalamika kuitwa ikulu akatumia gharama nyingi mwisho wa siku akapewa bahasha ya 5000
Wadau washafichua