Hizi Bahasha anazogawa Rais wa Zanzibar zina nini?

Amewastukia wasaidizi, wakipewa wapeleke Huwa hawafikishi kunako.

Yaweza kuwa ni bahasha zenye kadi ndogo saiz ya bahasha zenye kuwatakia sikukuu njema.
 
Ni kopi ya "kibuluu" ya risala aliyoisoma.Wanatakiwa wakaisome majumbani mwao waielewe kwa uzuri kuhusu uchumi wa kibuluu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…