sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Ilikuwa ni kawaida msanii wa bongo kupata views milioni hata kwa wasanii wa level za kati tukiachana na zile lebo 3. Ilikuwa ni kawaida msanii akiweka video intagram basi hakosi kutazamwa walau na watu laki
Ilikuwa kawaida msani kupata streams kibao huko boomplay, audio mack, n.k. Yote hii ilisababishwa kwa gharama nafuu mno za data, Internet ilikuwa ni kitu ambacho watanzania wengi waliweza kumudu.
Ila kwa hizi bei mpya za vifurushi, hakika vinaenda kuangusha wasanii. Wasaniii wajipange kisaikolojia maana kwa hivi vifurushi vipya kiukweli ukali wa maisha ulivyo kwa sasa, wengi wataona nafu kuingiziwa videos kwenye flash kuliko ku stream.
Wasanii wenye followrs milioni 6+ huko waanza kuzoea views elf 15
Ilikuwa kawaida msani kupata streams kibao huko boomplay, audio mack, n.k. Yote hii ilisababishwa kwa gharama nafuu mno za data, Internet ilikuwa ni kitu ambacho watanzania wengi waliweza kumudu.
Ila kwa hizi bei mpya za vifurushi, hakika vinaenda kuangusha wasanii. Wasaniii wajipange kisaikolojia maana kwa hivi vifurushi vipya kiukweli ukali wa maisha ulivyo kwa sasa, wengi wataona nafu kuingiziwa videos kwenye flash kuliko ku stream.
Wasanii wenye followrs milioni 6+ huko waanza kuzoea views elf 15