ZITO KAFIKA IKULUULIPO TUPO MAALIM SEFULeo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa,
View attachment 1053285
View attachment 1053284
CC Zero IQ
Ndiyondo unalowaza hilo tu
Kumbe na wewe mkali!!sitaki uke wenza na ww nimesema..tafuta bwana kwa nafasi yako😑😑
Kumbe na wewe mkali!!
Wewe una exposure gani mbw...a mkubwa! Kula kulala wewe!!Mzee hana exposure kabisa. Suruali ya kitambaa na raba kama dalali wa mahindi bana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee hana exposure kabisa. Suruali ya kitambaa na raba kama dalali wa mahindi bana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Angalie asije akakupumulia dada!!mazoea na majuha sipend best mtu akose kazi ya kufanya aje anipumzikie mm inahu ...aolewe tu kwakweli
nyooAngalie asije akakupumulia dada!!
Niache kwanza unanuka mdomo!! Kasafishe mdomo kwanza ni aibu dada mzima kunuka mdomo! Maneno yako machafu sana kama tundu la ch...oo!nyoo
✌✌✌✌Niache kwanza unanuka mdomo!! Kasafishe mdomo kwanza ni aibu dada mzima kunuka mdomo! Maneno yako machafu sana kama tundu la ch...oo!
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤚🏻Teh Magu yupo simple sana hasa kwenye uvaaji ila mzee baba raba sebuleni za nini sasa ?
Au Sebule ina Mbigiri ???
Sent using Jamii Forums mobile app
acha ukorofi naniii!nijihami nn kwa lipi kwako nijiham...naona uantaka uke wenza na mm...sishei
jumla ni elfu 15 ,kutoa saa na miwani dingi yuko simple ametinga pamba za ACT wazalendoLeo mr Prez alikuwa anacheki game ya staz VS uganda Code(Nguo) alizotupia nimezielewa,
View attachment 1053285
View attachment 1053284
CC Zero IQ
Ana mke na watoto wangemletea makubasi na kumvua viatu na kofia. Je, na hiyo shati? Na sehemu ilipo tv?naunga mkno hoja. je kama alitoka shambani akakutana na match inaanza ikabidi akae aangalie?
Ana mke na watoto wangemletea makubasi na kumvua viatu na kofia. Je, na hiyo shati? Na sehemu ilipo tv?