Hizi fashoon za skin jeans na vimiguu vyetu vya 'kunguru'

Hizi fashoon za skin jeans na vimiguu vyetu vya 'kunguru'

Nichumu Nibebike

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2016
Posts
8,658
Reaction score
15,793
crow-kunguru.jpg
Wakuu, baada ya muda mrefu hatimaye na mie nimeanza kuvaa hivi visuruali vinavyobana mapaja!
Hii ni baada ya mpenzi wangu kuniambia kuwa hizo ndio pamba zinazobamba na yeye anadata na pigo hizo...
Sasa tatizo liko kwenye huu usafiri wangu wa TZ 11... Yani nina vimiguu vyembabaaa kama vya kunguru, so napata wakati mgumu katika pamba hizo...
By the way, am sure hili ni 'tatizo' la Watanzania wengi... Wenzetu wa Uganda na hata wazungu wamejaliiwa miguu ya haja na hii fashoon inawatoa sana, ila kwa sie wabongo ambao wengi tuna vimiguu vya kunguru, ni sheedah!
 
Mkuu ukifatisha sana mwanamke anachotaka, tegemea next time atakupa gauni lake uvae akikusifia ndo linakutoa.
 
hahaha, mguu wa azam cola hutakiwi kuvaa kimini🙄🙄🙄
ila wenye champagne wanatutesa sana😀😀
 
Haya mambo yana namna yake na wenyewe pia...Sasa na miguu yako kama Spoku au chelewa unategemea nini sasa
 
Back
Top Bottom