Africa Tanzania
JF-Expert Member
- Jun 13, 2015
- 1,504
- 2,272
Natoka zangu Moro naenda Dodoma na vitz yangu ila napitwa na kila gari[emoji26][emoji26]....
Ikija rav4 inapita, ikija Ist inapita, likija basi linapita ukishindana nayo unaishia kujichosha tu [emoji22].
Kila root najiona mimi wa mwisho tu[emoji134]
Nakiuza hiki kigari nije huko huko kwenu[emoji2955]
Natafuta mnyama wenye 6cylinder. Hasa hasa Gx110[emoji123]
MITANO TENA[emoji3166]
Ikija rav4 inapita, ikija Ist inapita, likija basi linapita ukishindana nayo unaishia kujichosha tu [emoji22].
Kila root najiona mimi wa mwisho tu[emoji134]
Nakiuza hiki kigari nije huko huko kwenu[emoji2955]
Natafuta mnyama wenye 6cylinder. Hasa hasa Gx110[emoji123]
MITANO TENA[emoji3166]