Hizi Fedhea nimezichoka!

Hizi Fedhea nimezichoka!

Africa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
1,504
Reaction score
2,272
Natoka zangu Moro naenda Dodoma na vitz yangu ila napitwa na kila gari[emoji26][emoji26]....

Ikija rav4 inapita, ikija Ist inapita, likija basi linapita ukishindana nayo unaishia kujichosha tu [emoji22].

Kila root najiona mimi wa mwisho tu[emoji134]

Nakiuza hiki kigari nije huko huko kwenu[emoji2955]

Natafuta mnyama wenye 6cylinder. Hasa hasa Gx110[emoji123]

MITANO TENA[emoji3166]
 
Natoka zangu Moro naenda Dodoma na vitz yangu ila napitwa na kila gari[emoji26][emoji26]....

Ikija rav4 inapita, ikija Ist inapita, likija basi linapita ukishindana nayo unaishia kujichosha tu [emoji22].

Kila root najiona mimi wa mwisho tu[emoji134]

Nakiuza hiki kigari nije huko huko kwenu[emoji2955]

Natafuta mnyama wenye 6cylinder. Hasa hasa Gx110[emoji123]

MITANO TENA[emoji3166]
Mkuu unapitwa hadi na mabasi ???

Basi wewe una mguu mfupi aisee
 
Natoka zangu Moro naenda Dodoma na vitz yangu ila napitwa na kila gari[emoji26][emoji26]....

Ikija rav4 inapita, ikija Ist inapita, likija basi linapita ukishindana nayo unaishia kujichosha tu [emoji22].

Kila root najiona mimi wa mwisho tu[emoji134]

Nakiuza hiki kigari nije huko huko kwenu[emoji2955]

Natafuta mnyama wenye 6cylinder. Hasa hasa Gx110[emoji123]

MITANO TENA[emoji3166]
Vitz yako ni cc ngap ?
 
Back
Top Bottom