Hizi Gari huwa zina matatizo gani ya mara kwa mara?

Hizi Gari huwa zina matatizo gani ya mara kwa mara?

Boss Man

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2022
Posts
458
Reaction score
991
Wakuu hii Gari nataka kuinunua, nimpatie Dogo apige nayo kazi ya Bolt, ni Vits namba B inauzwa 4.5 tumeshushana na jamaa hadi 3.8 na amegoma kushuka zaidi ya hapo, vipi nikichukua kwa bei hiyo ni sawa au nitakuwa nimepigwa

Vipengele vya Gari ambavyo havihitaji fundi kuvigundua

a) Mlango wa Dereva unaufungulia kwa ndani, ukiulock kwa nje haufunguki

b) Taa za Indicators na Hazard hazifanyi kazi

c) Njia ya Maji ya wiper imeziba, Maji hayatoki

NB: Gari nimeitest kwa kuendesha nimeuona ipo sawa japokuwa Mimi sio fundi, je ni vitu gani tena vingine vya kuzingatia kabla sijaichukua?
Screenshot_20221108-081220.jpg
 
Achana nayo ubovu wa vitu vichache usikupe upofu. Kila kitu kwenye gari kiliwekwa kwa sababu na matumizi kwa wakati sahihi

Gari Sio kwenda mbele tuu
 
Wakuu hii Gari nataka kuinunua, nimpatie Dogo apige nayo kazi ya Bolt, ni Vits namba B inauzwa 4.5 tumeshushana na jamaa hadi 3.8 na amegoma kushuka zaidi ya hapo, vipi nikichukua kwa bei hiyo ni sawa au nitakuwa nimepigwa

Vipengele vya Gari ambavyo havihitaji fundi kuvigundua

a) Mlango wa Dereva unaufungulia kwa ndani, ukiulock kwa nje haufunguki

b) Taa za Indicators na Hazard hazifanyi kazi

c) Njia ya Maji ya wiper imeziba, Maji hayatoki

NB: Gari nimeitest kwa kuendesha nimeuona ipo sawa japokuwa Mimi sio fundi, je ni vitu gani tena vingine vya kuzingatia kabla sijaichukua?View attachment 2409926
Hii gari nimeiyona sana inapostiwa [emoji16][emoji16][emoji16]
 
Chukua hivyo vitu vidogo vinarekebishika
 
Back
Top Bottom