Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
what is your point, yapo matunda yanakubali hapa bongo na mengine hayakubali, mfano kwa ukanda wa pwani ni ngumu saana kuotesha APPLE likakubali, nilijaribu wambugu apple pamoja na mbegu nili buy Kuffel Creek garden , iliota poa ilitoa mauwa mengi ila kutokana na joto miti ilishambuliwa na magonjwa hapo ndio nikajua unless uwe na special skills tunda linalostawi iringa au arusha ukalileta dodoma au dsm it can be a challengekila aina ya tunda? una Persmon? Mangosteen? Plumus? Star fruit? Blue berries? Richees? Grapes fruits? Fig?
Duniani kuna aina zaidi ya 50,000 za matunda hivyo acha kusema kwamba umeotesha aina zote za matunda.
ni criteria gani umetumia kutambua sijui chochote, karibu saana kwangu uone, wengine hatuandiki hapa kufurahisha watu, au kufurahisha jukwaa...tunajaribu ku share knowledge as i practice.hayo uliyoyataja kwako wewe ndio yaelekea unayajua ninayo matunda ambayo huyajui na mengine i am sure hutakaa uyaonje kwani you cannot find them anywhereHajui chochote huyo
Ameotesha embe na chungwa anasema aina zote za matunda
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mmenikatisha tamaa sana nilinunua miche yenu matokeo yake embe zimezaa nadani zimeozaUsijiulize mara mbili.
Tumekuandalia aina zote za Miche ya Embe kwa Bei Ile Ile ya 2500 Tu. Miche imebebeshwa yote Hivyo ndani ya Miaka 2 na nusu tu. Utaanza Kuvuna.
Utunzaji wa mimea yako kunasehem unechemshaMmenikatisha tamaa sana nilinunua miche yenu matokeo yake embe zimezaa nadani zimeoza
Zipo aina za Embe zinaitwa BoriboEmbe bolibo ni zipi mkuu..
Kwa Dar Unatumiwa kwenye Bus za Abood au BM. na vitu vya kupokelea ni Mbezi au Shekilango unachagua wapi rahisi kwakoKwa dar mnapatikana wapi?
Zipo aina za Embe zinaitwa Boribo
Mkuu huna haja ya kujibu comments kama hizi kabisa. Maana ni wazi hayupo hapa kuelimika au kujibu hoja kwa hoja yenye mantiki.ni criteria gani umetumia kutambua sijui chochote, karibu saana kwangu uone, wengine hatuandiki hapa kufurahisha watu, au kufurahisha jukwaa...tunajaribu ku share knowledge as i practice.hayo uliyoyataja kwako wewe ndio yaelekea unayajua ninayo matunda ambayo huyajui na mengine i am sure hutakaa uyaonje kwani you cannot find them anywhere
Kila la kheri
Maneno bila picha ni kelele tuSifa Zinazopelekea Aina Hizi Za Embe Kuwa Bora Zaidi ya Nyingine Sokoni.
Kwa Kawaida Tunda La Embe linapendwa takribani na watu wote kwasababu ya ladha yake ya sukari/ Tamu.
Kwenye Biashara Aina hizi za Embe zimeshika Kasi sana Sokoni.
1. Kent Mango.
Hii ni aina ya Embe Kubwa sana, kuanzia gram 800 - 1kg.
Ni Tamu sana pia Ina Rangi nzuri ya kuvutia.
2. Tommy Artikin.
Sifa kubwa za aina hii ya Embe ni Rangi ya kuvutia Sokoni, Embe size ya kati uzito 500g-800g.
Embe inakuwa tamu sana hata kama utakula kabla haijaiva.
3. Apple Mango.
Hii ndio Embe inayosifika kuwa na Juice tamu zaidi Kutokana na uchachu iliyonao kwa mbaali.
Kokwa Dogo, nyama kubwa haina nyuzi nyingi.
4. Red Indian.
Kwanza aina hii ya Embe inavumilia sana shambani, Tunda Lake rangi nyekundu yakuvutia, Size ya Kati.
5. Dodo.
Hii ni Aina ya Embe ambayo inapendwa na watu wote sababu ya umaarufu wake. Embe haina harufu Wala kuwa na uchachu inapokuwa imeiva, Embe la size ya kati.
Kwa Leo inatosha.
Usijiulize mara mbili.
Tumekuandalia aina zote za Miche ya Embe kwa Bei Ile Ile ya 2500 Tu. Miche imebebeshwa yote Hivyo ndani ya Miaka 2 na nusu tu. Utaanza Kuvuna.
Tupigie Leo
Mr. Sway 0752799673
Glory Farm 0746850361
Tupo SUA Morogoro Ulipo Tunakufikia.View attachment 2811129
Bei kaweka ni 2,500/Mkuu weka picha halafu wengi tunapendelea mbegu fupi zile! Weka na bei.
Tupe madini mkuu, wengine wamekaa kubishia wenzao kuwa hawajui,wakati ukweli ni kwamba kila mtu ana kipawa chake tofauti na Mwingine.Mungu mkubwa.ni criteria gani umetumia kutambua sijui chochote, karibu saana kwangu uone, wengine hatuandiki hapa kufurahisha watu, au kufurahisha jukwaa...tunajaribu ku share knowledge as i practice.hayo uliyoyataja kwako wewe ndio yaelekea unayajua ninayo matunda ambayo huyajui na mengine i am sure hutakaa uyaonje kwani you cannot find them anywhere
Kila la kheri
Wazo zuri✅🙏Mimi kwenye compaund yangu nimeotesha kila aina ya tunda
FANYA HIVI
chimba shimo liende mpaka chini ya msingi, weka PVC pipe chini kabisa hata futi tatu chini ya shimo weka kokote kwenye PVC, weka mbolea then otesha mti wako wowote
ukifanya hivyo kila ukimwagilia maji yatakuwa yanaenda chini na roots will start also going down kutafuta maji, kwa muktadha huo,, roots will not disturb ukuta wa nyumba yako hata kidogo
ninayo miti mikubwa karibu kabisa na ukuta hakuna hata dalili ya nyufa hata kidogo, unapootesha mti juu na roots kusambaa ndio kiini cha ukuta kupasuka
Kila la kheri