Hizi hapa aina za Embe na Sifa zake

Mkuu weka picha halafu wengi tunapendelea mbegu fupi zile! Weka na bei.
Hakuna miembe ya mbegu fupi mzee...!

What happens ni kwamba, kwa sababu ile miti imefanyiwa grafting then huanza kuzaa ikiwa midogo lakini kadiri miti inavyokuwa ndivyo inavyokuwa mikubwa. Huwa mikubwa sana mpaka ukashangaa ukionyeshwa.

Wakulima wa embe wanachofanya ni kuipunguza ile miti periodically(pruning) kwa sababu ikiwa mikubwa sana zoezi la kuvuna na kuweka dawa huwa ni gumu...hayo mazoea kuiona midogo midogo ndiyo yanafanya watu wadhani ile miembe haikui...!
 
Kumbe huhifahamu dodo. Unasema haina harufu? Labda dodo ya kwenu. Dodo ina harufu na ni maarufu na ni tamu sana. Umekariri au kunukuu kwa nani hii makala?
Huyo ni muuza miche...hana elimu yoyote practical ya maembe [emoji16]
 
kila aina ya tunda? una Persmon? Mangosteen? Plumus? Star fruit? Blue berries? Richees? Grapes fruits? Fig?

Duniani kuna aina zaidi ya 50,000 za matunda hivyo acha kusema kwamba umeotesha aina zote za matunda.
Elewa context mzee...he probably meant the most common fruit trees kwa ukanda huu...embe, pera, stafeli, chungwa, avocado etc...
 
Ni mbegu ipi itafanya vizuri mikoayenye baridi mfano jombe, Iringa ?
 
Are you a fruits farmer mzee au hobby tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…