Hizi hapa fursa 150 za biashara na miradimbali mbali nchini Tanzania

Namba 4 ukiwa vizuri utakula maisha mpaka unazeeka
 
Sijaona kipya hapo sijaona ubunifu wowote mpya hapo
 
151..kufungua biashara ya dawa za uzazi kwa wanawake na kutibu nguvu za kiume kwa wanaume
 
Nmekubali hizi ni fursa kulingana na maeneo tunamoishi
 
Mkuu ubarikiwe nimechokakusoma maada za ovyo umu jf

Yan unakuta adi simu za akina ***, ukitaka ku type neno linalo anza na "P" au "G",, auto prediction inakuletea papuchi au gegeda respectively
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…