1.South Africa (Kuna sampuli za wazuri aina nyingi) Weusi-mamodo, Weupe-Wenye mashape ya hatari, wa maji ya kunde, Wanene, wastani na wembamba.
2.Tanzania (Kuna sampuli ya wazuri aina zote, Weusi, chokolate, weupe, wanene, wembamba, wastani, wenye mafiga ya kuvunja chaga, warefu, wafupi.. yaani kila sampuli… Kuna wanaofanana na waSouth, WaRwanda, Wasomali, waarabu, waEthiopia/Eritrea. Tz ni nchi isiyo na identity/haina mwenyewe.
3.Rwanda/Burundi (Wazuri sana, wengi ni wa aina moja kwa maana ya warefu, wana shape zao nzuri, mara nyingi ni weusi na wachokolate. Rwanda na burundi kuna sampuli mbili za wanawake na hawafanani hata kidogo, hii ndio inawapunguzia maksi, wangefaa kuwepo namba 2.
4.Ethiopia (Wazuri sana, wanafanana kwa kiasi kikubwa)
5.Somalia (Wazuri sana, walio wengi wanafanana.
6. Eritrea (Wazuri sana, wengi wanafanana)
7.Moroco/Egypt (Wazuri, waarabu, Wengi ni wa aina moja)
8. Botswana/Namibia ( Wazuri, kiasi wanaendana na wasouth)
9. Kenya ( Wapo wazuri, wa aina 3 tofauti)
10. Nigeria ( Recently wamejitahidi kuchanganya damu wamezaliwa wazuri, na pia tuwapongeze wengi wamefanya cosmetics surgery, kwahiyo wanalipa/wanavutia)