ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Mimi ningeiondoa Rwanda na South Afrika, na kuziingiza Madagascar na South Sudan, and how comes Ghana ipo halafu Eritrea haipo?My Take
Toa Kenya,Ghana na Zimbabwe Kwenye list weka Eritrea,Burundi na Madagascar
View: https://twitter.com/zoomafrika1/status/1695778429856014649?t=jggqQmSCeSPS5NYzHq9MxA&s=19
Sudani nao Wanawake wale😅, Ni wa hovyo Mkuu usipagawe na Skendo za Muhimbili ni Maboya tu bora hata Mke wako yamekaa ka Maparachichi.Mimi ningeiondoa Rwanda na South Afrika, na kuziingiza Madagascar na South Sudan, and how comes Ghana ipo halafu Eritrea haipo?
Naiongelea South Sudan mkuu, siyo Sudan JanjaweedSudani nao Wanawake wale😅, Ni wa hovyo Mkuu usipagawe na Skendo za Muhimbili ni Maboya tu bora hata Mke wako yamekaa ka Maparachichi.
Tanzania ipi hiyo unayotaka iondolewe mkuu?Itoe Tanzania hapo
Unaijua bongo Vizuri wewe lakini?Itoe Tanzania hapo