Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Heshima/ medali zitolewazo na nchi ya Kenya kwa nafasi mbalimbali za uongozi. Raisi ni first order mawaziri ni second orders.
It is bestowed when you accomplish something big. Sometimes politics are involved in bestowing those honour but as a President one is automatic CHG holder.Mbona kuna wengi ambao sio mawaziri wanazo na kuna mawziri hawana?
His excellency the president of Republic of Kenya.Nani huwa anatoa hizo awards??
Anaejipachika bila kutunukiwa PhD nimjuae Tanzania hii ni msanii Hemedi PhD.Vipi kuhusu kupachikana title ya PhD?
Viongozi wa juu yake ama Rais, wameiga UingerezaNani huwa anatoa hizo awards??
Sheikh, Ustadh, Ustadhat, Imam, Ulama, Askofu, Padre n.kNi utumwa mambo leo unaoweka na kutukuza matabaka ya ubaguzi.
Wameiga hayo na wanaendekeza na kuendeleza ubaguzi wa matabaka kutoka kwa Waingereza.
Sifahamu kuhusu "askofu na padre", hayo useme wewe uliyeyaandika, Lakini kwa ufupi nijuavyo "padre" ni baba. Katika Uislam hakuna kumwita baba ambae hajakuzaa ki halali.Sheikh, Ustadh, Ustadhat, Imam, Ulama, Askofu, Padre n.k
Hapo vipi? Hakuna matabaka?
Na yeye nani anampa?His excellency the president of Republic of Kenya.
Wanachaguliwa na nani? Na kwanini wachaguliwe? Kwanini wote wasier level moja tu ili kuepuka ubaguzi na utumwa?Na wote hao katikabUuslam hawachaguliwi na mtu, ucha Mungu wao na vitendo vyao automatically vinawapa lebo hizo.