Hizi kazi zimekuwa nyingi na hakuna watu wa kuzifanya

Hizi kazi zimekuwa nyingi na hakuna watu wa kuzifanya

Teknocrat

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
4,967
Reaction score
11,056
Hizi kazi zimekuwa nyingi na hakuna watu wa kuzifanya mpaka UK inatafuta wafanyakazi kutoka nje.

Jaribu bahati yako, ukweli ni kazi za kuangalia wazee,

sasa wewe kama unaona haikufai, pita kushoto,

Wale wanataka kujaribu bahati yao, fursa ndio hii.

Uwe una elimu hata ya uuguzi kutoka chuo kizuri na lugha inapanda

 
Шasenge mno yaani maelezo kibao Ila hawajaweka masuala ya hela. Ila hii lazima uwe mtu wa afya kweli kweli wakuu, maana kuna kuwanepisha.

Wazee wameshazeeka so Hakuna wa kuishi sio Kama afrika ni sawa saivi watt tunawapeleka day care wakiwa wadogo so na huku itafikia wazee tutapelekwa huko pia na masuala ya misiba sijui nzengwe zitaisha ujue ni company tu za misiba Keisha habari na itabidi kila kiumbe kikatiwe bima akifa tu bima inalipa kampuni inafanya maziko Keisha habari wewe kazi yako ni kupeleka shada za maua.

Sema blacks hatujabanana kiivyo so tunao muda wa kukusanyika
 
Шasenge mno yaani maelezo kibao Ila hawajaweka masuala ya hela. Ila hii lazima uwe mtu wa afya kweli kweli wakuu, maana kuna kuwanepisha.

Wazee wameshazeeka so Hakuna wa kuishi sio Kama afrika ni sawa saivi watt tunawapeleka day care wakiwa wadogo so na huku itafikia wazee tutapelekwa huko pia na masuala ya misiba sijui nzengwe zitaisha ujue ni company tu za misiba Keisha habari na itabidi kila kiumbe kikatiwe bima akifa tu bima inalipa kampuni inafanya maziko Keisha habari wewe kazi yako ni kupeleka shada za maua.

Sema blacks hatujabanana kiivyo so tunao muda wa kukusanyika
Huku wamejaa Wakenya, Wazimbabwe na Wanaigeria kwenye hizi kazi, wanajua kuchangamkia fursa
Halafu baadae wanajipanga na kupata permit yake mwenyewe isiyo husiana hii kazi, hapo anakuwa huru na kuacha hzi kazi, unjanja ni kufika eneo la tukio halafu baadae unajiongeza
Mishahara wameweka, angalia hapo chini, na kawaida ni masaa 40-45 kwa wiki, na pia overtime kwenye hizi kazi ni wewe mwenyewe utanyoosha mikono, wakenya wanafanya kazi kama hawana akili nzuri, na kujipigia pesa ya kujipanga kutafuta njia nyingine ya permit yake mwenyewe binafsi.
Kwa elimu, sasa kama mtu amesoma degree ya unesi, na kashafanya kazi kwenye mahospitali hii ni fursa kwake, kulinganisha na mshahara wa kibongo wa unesi, haufukii hata robo yake.
1680266089161.png
 
Mhhh!
Au ni wasiwasi wangu tu?
Mkuu, unawasiwasi wa nini
Wewe umesomea unesi? una vigezo?, changamkia fursa, ni wewe mwenyewe, unaweza kuwapigia simu ukawaulizia taarifa zaidi au ukawaandikia email, au kujaza fomu kwenye website yao
Acheni uoga kila kitu mnaona ni changa la macho, hao wakenya ninaowaona huku wamefikaje?
 
Back
Top Bottom