Hizi lugha za hawa mabondia zina maana gani?

Hizi lugha za hawa mabondia zina maana gani?

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
Wakuu,

Kuna hizi kauli wanatumia hawa mabondia zina maana gani na lugha za kabila gani?

Dulla mbabe "Afile munu asigale munu"

Twaha Kiduku " Mako dinda Mako Stamina"

Kama nimekosea mtanirekebisha.

Asante.
 
Back
Top Bottom