malisoka
JF-Expert Member
- Jul 8, 2012
- 1,860
- 2,636
Nabendaga sana methali hizi, pale jambo mtu anapolificha wakati akijua ni lazima litatoa outcome mbeleni.
Kwa mfano mtu akificha ujauzito/ mimba muda ukisonga itajulikana tu anamimba.
Ni hayo tu nimekumbuka mbali sana.
Hasa pale muibuko unapotokea. inakuwaga aibu na fedheha.
Jamani tuenzi lugha yetu ya kiswahili ndiyo tunu yetu.
Kwa mfano mtu akificha ujauzito/ mimba muda ukisonga itajulikana tu anamimba.
Ni hayo tu nimekumbuka mbali sana.
Hasa pale muibuko unapotokea. inakuwaga aibu na fedheha.
Jamani tuenzi lugha yetu ya kiswahili ndiyo tunu yetu.