Hizi mila zingine sio nzuri.......

Hizi mila zingine sio nzuri.......

Mzawa_G

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2014
Posts
669
Reaction score
1,475
Juzi nimeenda kuzika rafiki yangu huko kijijini kwao, sasa utaratibu ni kua baada ya kuzika mkiwa hukohuko makaburini mzee wa kimila hua anasimama na kumtangaza atakayefuatia kufa.

Mzee huyo aliposimama....kwa kujiamini kabisa akajikoholesha... afu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la kaburi ndio atakaefuatia kufa....bila kutaja jina wala nini....

Leo siku ya tatu bado tunazunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yule mzee...

Stupid mila...
 
Nilivyosoma heading nikajua ni issue serious, kufungua uzi nakutana na jokes za primary huko. Then nikaangalia jukwaa kumbe Chits- Chats and jokes
 
Bado ya moto moto kabisa kwa hili joto la Dar litayeyusha mafuta mengi sana mwilini [emoji16]
JamiiForums561838404.jpg
 
Nilivyosoma heading nikajua ni issue serious, kufungua uzi nakutana na jokes za primary huko. Then nikaangalia jukwaa kumbe Chits- Chats and jokes
Mbona Uzi una nondo sana mkuu
 
Juzi nimeenda kuzika rafiki yangu huko kijijini kwao, sasa utaratibu ni kua baada ya kuzika mkiwa hukohuko makaburini mzee wa kimila hua anasimama na kumtangaza atakayefuatia kufa.

Mzee huyo aliposimama....kwa kujiamini kabisa akajikoholesha... afu akasema mtu wa kwanza kuondoka eneo la kaburi ndio atakaefuatia kufa....bila kutaja jina wala nini....

Leo siku ya tatu bado tunazunguka zunguka tu hapa makaburini pamoja na yule mzee...

Stupid mila...
😂😂😂Nyie wote machizi
 
Back
Top Bottom